Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,657
gonga thanx basiasante kwa ufafanuzi mkuu
gonga thanx basiasante kwa ufafanuzi mkuu
HABARI ZA UHAKIKA....
Nimeongea na John Kitime wa Njenje production ambaye ameniambia kuwa MSONDO wamesema kuwa huu ni uzushi ulioanza tangu jana.
Mzee Gurumo ni mzima na pia bendi yake ipo inafanya show mda huu ktk loctaion yake ya siku zote. anaendelea vyema kurecover
Wakuu tujitahidi kuweka realiable informations ambazo sources zake ni uhakika au la tutaingizwa kwenye mkumbo wa udaku na udakuzi.
HABARI ZA UHAKIKA....
Nimeongea na John Kitime wa Njenje production ambaye ameniambia kuwa MSONDO wamesema kuwa huu ni uzushi ulioanza tangu jana.
Mzee Gurumo ni mzima na pia bendi yake ipo inafanya show mda huu ktk loctaion yake ya siku zote. anaendelea vyema kurecover
Wakuu tujitahidi kuweka realiable informations ambazo sources zake ni uhakika au la tutaingizwa kwenye mkumbo wa udaku na udakuzi.
HABARI ZA UHAKIKA....
Nimeongea na John Kitime wa Njenje production ambaye ameniambia kuwa MSONDO wamesema kuwa huu ni uzushi ulioanza tangu jana.
Mzee Gurumo ni mzima na pia bendi yake ipo inafanya show mda huu ktk loctaion yake ya siku zote. anaendelea vyema kurecover
Wakuu tujitahidi kuweka realiable informations ambazo sources zake ni uhakika au la tutaingizwa kwenye mkumbo wa udaku na udakuzi.