Recent content by Leo King

  1. L

    Wadada mnisamehe kidogo!

    its not easy sa kujua kama he aint the right one...
  2. L

    Wadada mnisamehe kidogo!

    si kweli...mimi nilimvumilia wangu since tupo chuo hadi tukamaliza... tukaingia kitaa wote tukiwa jobless...nlimtia sana moyo mana i had hopes ipo siku tutafanikiwa... na i tried so hard not to put pressure into his life... sikua nikimuomba pesa na wala pia sikuwa na haraka ya mafanikio...
  3. L

    Nahisi kufa kufa; unapata wapi nguvu ya kumwacha umpendae?

    asanteni wote kwa ushauri wenu... he claims hataki uhusiano kwa sasa...hataki kuoa...anataka kufocus kwenye vitu flani... i guess alihisi kama yuko pressured awaze mimi then familia nyuma yake inamtegemea and all that.. but nkamwambia asiwaze mambo ya ndoa all i want is him na sio ndoa...ila...
  4. L

    Nahisi kufa kufa; unapata wapi nguvu ya kumwacha umpendae?

    asante ni ngumu sana...ila nitajitahidi
  5. L

    Nahisi kufa kufa; unapata wapi nguvu ya kumwacha umpendae?

    hua namwombea sana...na vyeti vyake ninavyo...kazi nikiona namuapplaia
  6. L

    Nahisi kufa kufa; unapata wapi nguvu ya kumwacha umpendae?

    asante bora hata wewe ulikua na mawasiliano nae still
  7. L

    Nahisi kufa kufa; unapata wapi nguvu ya kumwacha umpendae?

    jamani[emoji24][emoji24][emoji24]
Back
Top Bottom