Recent content by Lenyox

  1. Lenyox

    Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

    Nam naungana na waliosema hiyo haikuwa sababu ya wewe kuacha kazi, haimake sense eti uache kazi ili ukamuuguze mama yako, hela ya matibabu, gharama ya chakula n.k ulitegemea utapata wapi? Wewe ni mtoro ulienda piga issue zako. Anyway kuhusu wanaosema yawezekana ajira yako ipo usiweke asilimia...
  2. Lenyox

    Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

    Zama zimebadilika, utandawazi umebadili mambo. 1.Kuolewa hakuchukuliw tena kama jambo la heshima kama wazee wetu walivyokuwa wakiaminishwa, wanawake wa zaman waliweza kuolewa hata na watu wasowapenda na kuweza kuvumilia vipigo na manyanyaso kisa tu kulinda hadhi na heshima za familia zao, siku...
  3. Lenyox

    Je, mjane wa marehemu anaweza kuendelea kupata asilimia fulani ya (pensheni)aliyokuwa anapokea marehemu?

    Kwenye penshen ya mirathi ikotokea marehemu amefariki na ana watoto wadogo chin ya miaka 18 na alitimiza miaka 15 kazini basi yule msimamizi wa mirath atakuwa anapewa penshen kula mwez had pale mtoto mdogo atakapotimiza miaka 18 kama mwanafunzi 21, lengo ni kuwasaidia watoto wa marehemu waweze...
  4. Lenyox

    Utaratibu Kuhusu Kustaafu kwa hiari kwa watumishi wa Umma

    Unatakiwa utoe notification kwa mwajiri wako miezi sita kabla ya tarehe unayotarajia kustaafu kwa hiari. Kustaafu kwa hiar iko kisheria kwahiyo mwajiri hana mandate ya kukukataza, hata isipokuwa kwa tatizo la ugonjwa una uwezo wa kustaafu kwa hiari. Mwajiri atakuandikia kibali cha kustaafu...
  5. Lenyox

    Suala linalonipa ukakasi, hii Mimba alidhamiria kuitoa au ni mpango wa Mungu?

    Mi ndio mesikia leo flagyl inatoa mimba, pamoja na kuwa na mtoto tayar, nam huenda ningeumwa tumbo enz hizo na kushauriwa kunywa flagyl yawezekana ningekunywa, so usimuhukumu huenda hakujua. Japo kama mjanja ukiwa mjamzito kabla ya kunywa dawa yoyote atleast angegoogle
  6. Lenyox

    Ni wapi nitazipata ofisi za S.H Amon mkoani Dodoma

    Lililokuwa jengo la LAPF la zamani opposite na NK ndipo lipo. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Lenyox

    Mjane kupokea pension ya mumewe

    Hastahili kupokea, mstaafu akifariki ndio huwa mwisho wa kupikea penshen ya kila mwezi. Na ndio maana huwa wanafanya uhakiki kila baada ya miezi 6 kama cjakosea. Kwa hiyo uhakiki ukifanyika tu ndio bye bye bi mkubwa hatapokea penshen tena. Wanaoendeleaga kupokea penshrn ya kila mwezi ni wajane...
  8. Lenyox

    Mshahara wa mwalimu level ya degree ni kiasi gani

    M hr by professional nafanyia kazi hizo mambo sana, mwalimu wa degree tgts d1 anaanza na 716,000/=. Huyo kafika d2 ndio hiyo 733,000/=. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Lenyox

    Dawa ya chunisi kwa mjamzito

    Jaman nina chunusi hadi zinapandiana, sikuwahi kuwa nazo kabla ila nadhan zimetokana na ujauzito, kama kuna mtu anajua dawa, muda mwingine hadi natamani nisitoke nje.
  10. Lenyox

    Hivi utamjuaje msichana ambaye hajatoa mimba kabla ya kumuoa??

    Ukipata jibu naomba uniulizie na utamjuaje mwanaume aliyewahi gawa mimba.
Back
Top Bottom