MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,344
- 1,293
Habari za kushinda wakuu,
Poleni na hongereni pia kwa majukumu. Nipo hapa leo kuhitaji ushauri kutoka kwenu maana naona mwenyewe hili kama linanizidi, nina huyu mchumba angu ambae niko nae kwa mda kidogo, ila kazi ilitutenganisha na mimi nilihamishwa kituo cha kazi, mkoa mwengine, so tulipotezana kwa kipindi flani, ila bahati nzuri nimerudishwa tena kituo changu cha kazi.
Bila hiyana nilimtafuta, tuliongea mengi sana, kwa kweli sie yule nilimuacha, ameokoka, hanywi pombe, sio yule niliekua nikienda nae madisco kwa kipindi kile, basi baada ya mda tukajikuta tumerudi upya kwenye mahusiano, tulikua tunakutana ( sijui hii kidini imekaaje) niwe mkweli hatukua tukitumia kinga.
Basi akanipa taarifa kua haelewi siku zake, nikamshauri akapime, kweli akagagundulika ni mjamzito, nikapokea kwa mikono miwili, basi maisha yakaendelea, ingawa mimi sikuwaambia nyumbani.
Vituko vikaanza, mara anune bila sababu, mdogo wangu anaongea nae vizuri, ila nikirudi mimi ni kimya, tukienda kazini asubuhi atakaa kimya hadi namshusha kituo chake, na hata nikimuongelesha, ujibuji wake ni tofauti.
Nikajipa moyo kwa vile nasikia wajawazito wako hivyo, haikunisumbua, ni kweli mi ni mnywaji labda anakereka, ila unywaji wangu ni wa kujiburudisha mimi na sio kero kwa wengine, akaanza kulalamika tumbo linamuuma linamuuma linaacha, linaweza likamuuma usiku asubuhi akawa vizuri, leo nimeamka nimejiandaa kwenda kazini, ananiambia hajisikii vizuri, so hatoenda kazini, basi mi nikaondoka zangu,
Jioni narudi napokelewa na kilio, ila sioni kama ni kutoka moyoni, ananiambia mimba imetoka kwa bahati mbaya, kumbe wakati tumbo linaanza kumsumbua, alimeza flagyl, walimshauri rafiki zake huko ofisini, ingawa mimi hakuniambia, ni mengi tu ingawa nimeshindwa kuyaandika yote hapa,
Suala linalonipa ukakasi, hii mmba alidhamiria kuitoa au ni mpango wa mungu?
Namuangalia hapa hata simmalizi, hapa bila shaka ni sehemu sahihi, hebu naombeni ushauri wenu kwenye hili, amenipa wakati mgumu kweli
Nb: samahani kwa uandishi wangu, hapo nimejitahidi sana
Poleni na hongereni pia kwa majukumu. Nipo hapa leo kuhitaji ushauri kutoka kwenu maana naona mwenyewe hili kama linanizidi, nina huyu mchumba angu ambae niko nae kwa mda kidogo, ila kazi ilitutenganisha na mimi nilihamishwa kituo cha kazi, mkoa mwengine, so tulipotezana kwa kipindi flani, ila bahati nzuri nimerudishwa tena kituo changu cha kazi.
Bila hiyana nilimtafuta, tuliongea mengi sana, kwa kweli sie yule nilimuacha, ameokoka, hanywi pombe, sio yule niliekua nikienda nae madisco kwa kipindi kile, basi baada ya mda tukajikuta tumerudi upya kwenye mahusiano, tulikua tunakutana ( sijui hii kidini imekaaje) niwe mkweli hatukua tukitumia kinga.
Basi akanipa taarifa kua haelewi siku zake, nikamshauri akapime, kweli akagagundulika ni mjamzito, nikapokea kwa mikono miwili, basi maisha yakaendelea, ingawa mimi sikuwaambia nyumbani.
Vituko vikaanza, mara anune bila sababu, mdogo wangu anaongea nae vizuri, ila nikirudi mimi ni kimya, tukienda kazini asubuhi atakaa kimya hadi namshusha kituo chake, na hata nikimuongelesha, ujibuji wake ni tofauti.
Nikajipa moyo kwa vile nasikia wajawazito wako hivyo, haikunisumbua, ni kweli mi ni mnywaji labda anakereka, ila unywaji wangu ni wa kujiburudisha mimi na sio kero kwa wengine, akaanza kulalamika tumbo linamuuma linamuuma linaacha, linaweza likamuuma usiku asubuhi akawa vizuri, leo nimeamka nimejiandaa kwenda kazini, ananiambia hajisikii vizuri, so hatoenda kazini, basi mi nikaondoka zangu,
Jioni narudi napokelewa na kilio, ila sioni kama ni kutoka moyoni, ananiambia mimba imetoka kwa bahati mbaya, kumbe wakati tumbo linaanza kumsumbua, alimeza flagyl, walimshauri rafiki zake huko ofisini, ingawa mimi hakuniambia, ni mengi tu ingawa nimeshindwa kuyaandika yote hapa,
Suala linalonipa ukakasi, hii mmba alidhamiria kuitoa au ni mpango wa mungu?
Namuangalia hapa hata simmalizi, hapa bila shaka ni sehemu sahihi, hebu naombeni ushauri wenu kwenye hili, amenipa wakati mgumu kweli
Nb: samahani kwa uandishi wangu, hapo nimejitahidi sana