Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,166
- 6,290
Shida iko wapi sasa?Unadhani ni sahihi kupost hii document kwenye mtandao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida iko wapi sasa?Unadhani ni sahihi kupost hii document kwenye mtandao?
Usidanganye hiyo figure ya zamani sanaTukutane kwenye kampeni na ukarani wakati wa uchaguzi.
View attachment 1034139
...private sector hivyoLapf contribution kwa nn iwe 5% while sekta karibu zote tunakatwa 10% ya basic salary
Sent using Jamii Forums mobile app
kaka iyo slip tarahe yake sijaielewa .. ama ndo mambo ya time travelTukutane kwenye kampeni na ukarani wakati wa uchaguzi.
View attachment 1034139
M hr by professional nafanyia kazi hizo mambo sana, mwalimu wa degree tgts d1 anaanza na 716,000/=. Huyo kafika d2 ndio hiyo 733,000/=.Usidanganye hiyo figure ya zamani sana
Mwalimu wa degree ni Mwl grade C scale ni TGTS D1 sawa na 760k as per mabadiliko ya 2015.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo namba iliyoandikwa pembeni kushoto identifies right away. Kwanini mnaojihita wasomi mnashindwa kujua vitu vyepesi kama hivi?Tukutane kwenye kampeni na ukarani wakati wa uchaguzi.
View attachment 1034139
Hiyo namba iliyoandikwa pembeni kushoto identifies right away. Kwanini mnaojihita wasomi mnashindwa kujua vitu vyepesi kama hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maboto ndio nini?
Walimu wanajua,ni kampuni ya mikopo pia.Maboto ndio nini?
hapo bado heslb kwa mwenye nayo ,bado mikopo ya benki. Mungu awatie nguvu waalimu kwakweliHii hapa sema currently imeongezeka kidogo kwa walimu wa science
So take home yao ni Tsh 565,640 kama hakuwa na mkopo wa loan boardView attachment 1744399
Mnaojihita badala ya kujiita,hata we msomi umeshindwa kuandika kiswahili kizuriHiyo namba iliyoandikwa pembeni kushoto identifies right away. Kwanini mnaojihita wasomi mnashindwa kujua vitu vyepesi kama hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app