Nimeshinda kiasi fulani cha hela Bettwinner lakini kudraw hiyo hela kipitia bank MasterCard imeshindikana. Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilishakuwa na wapenzi kama wawili hivi mwanzoni walikuwa wakilalamika eti napeleka mpaka mwisho wanaumia lakini tukizoea kule kulalamika kunaisha na nazimisha zaidi ya pale kulalamika hamna.
Dawa ya mjusi fuga paka hutawawaona tena, paka anawala sana hata mimi kuna kipindi walinisumbuwa sana kuna mtu kaniambia fuga paka, nikafanya hivyo siku hizi simuoni hata wa dawa.
11% imebishaniwa sana mtaani na watu tumeshindwa kuilewa kwa sababu kwenye zile scale mfn TGTS C, D, E, F na kuendalea ukikakule income tax inatofautiana plz wataalamu wa haya watujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.