Recent content by leloson

  1. L

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo + wasiwasi ndio akili
  2. L

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Always conflicts zinaleta afya kwenye taasisi, tusiwe kama wale jamaa kila kitu wanafanyia sirini, chadema fyatuateni ivoivo ndio chama kitakua na afya, i like that
  3. L

    Misemo ya Mpoki jamani!

    Mganga haagizi tembele
  4. L

    Al Qaeda yaitisha Tanzania

    Shekhe Abdulazizi!!! mhh, I'm afraid
  5. L

    Namna mpya ya kutongoza mjini hapa - wanaume mna mambo!

    Usingekua na mtu wa kumuuliza, na hao uliowauliza wasingekwambia tapeli, what could have happened? ungekuja kutushirikisha kilichotokea? kweli celin aliisemaga ---if walls could talk! ---I was just thinking aloud.
  6. L

    MAHALI katika NDOA inamfanya MWANAMKE awe BIDHAA kama bidhaa zingine.

    Petcash umenivunja mbavu jamaa angu, wakat mwingine naingia huku ili nicheke tuu, its ver interesting..
  7. L

    Facebook Kuna Mambo

    Duh, izo game za west africa, do away with them, sijui kwanini wanajifanya wapo makanisan, why not in other ...
  8. L

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Mtumwema Mpenziwamungu - mwanachuo korogwe teachers college
  9. L

    Dr. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa NECTA! "It's Time To Go!.

    mzee kajipange urud kivingine, hoja yako imekosa mashiko watu wote wamekukataa, kiukwel umekuja na hoja nyong"onyevu, yaani elim imekua na matabaka yote hayo unamlaum ndalichako
  10. L

    Joyce Ndalichako: Clouds FM ilimpa promo kijana aliyendika matusi kwenye mtihani wa Kidato cha Nne

    Kutokujua tu kazi ya necta inatupa picha nzima ya nature na uwezo wa radio presentaz wa clouds fm, walirusha hicho kipindi mim nilikiskia, kwa upeo wao mdogo hawakujua impact yake, hii radio inasikitisha kiukwel, tangu masud kipanya aondoke, power breakfast haifai kuskiliza.
  11. L

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    Ebana hawa jamaa wanaboa sana siku hizi
  12. L

    Complete research proposal writing training for post graduate students

    Taja majina ya hao facilitators ili tujue are really eligible ukilinganisha na amount ya chapaa uliyotaja hapo, Kufacilitate hiyo training siyo dhambi hivo kuwataja sioni kama ni shida unless uwe na elements za usanii.
  13. L

    Leo Oktoba 07 ni siku ya kuzaliwa kwa Mhe. Rais Kikwete, chukua fursa hii kumwambia lolote

    tangu nchi hii inapata uhuru, sijawah sikia mwl nyerere, mzee mwinyi wala journalist mkapa akiitangaza bitrhday yake that way, only jk can do .....
  14. L

    Kuna Jambo baadhi yetu hatuelewi kuhusu Kikwete...

    Presenter umeonyesha a high level of thinking, you really talked a "talk" as shaka ssali used to say,
Back
Top Bottom