Maana kila nikipiga hesabu naona janga maana zimebaki wiki mbili alafu hakuna hata dalili zozote za kuandikishwa
Inamaana tukishafunga ndo watakujaaa?
Mikoani kwa baadhi tayarii ebu niambie ndugu wanachuo hatuna haki?
Au ndo UCCM umeanza?
kuongea na mpbv akaelewa ni tabu, poa umeshinda nakueleza ukweli unaleta ushabiki, uraisi si jambo la mzaha!!!!!!!!!
Afadhalii umegundua kweli ndugu u talk empty mind uliyonayo kichwanii asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.