Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli. Kwa yeyote ambaye amewahi kupata huduma kwa mtaalamu na akamfanikishia, tafadhari ni PM unisaidie maelekezo ya alipo huyo mtaalamu. Sihitaji wahubiri hapa, hata mimi Mungu namjua. Nipo serious, sipo kufanya masihara. Tafadhari. Naishi dsm
Najua wengi sana wanauhitaji na hawa wataalamu, sema ni issue ambayo mtu hawezi kuitangaza. Tuliozidiwa kama sisi ndo tunajitokeza humu kwa account mpya ili kupata msaada. Sasa katika kuhangaika huku na kule, nimefanikiwa kupata wataalamu wawili wote ni wazee wa uziguani. Nimepata huduma ya mzee...
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.
Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.
Naelewa ninachokifanya, kwahiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.