Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli

Natafuta mtaalam/mganga wa ukweli

Shetani ameidanganya dunia nenda kwa waganga utaona...lete lete njiwa Babu ameagizaaaaaaa
asee ulishasema hutaki ushauri. Waganga changamkeni tenda hiyo
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Vipi Na wewe upo benki kuu nini ⁉️⁉️⁉️
Mungu akunusuru Na utumbuaji
 
Na Mimi nilijisemeaga sitaenda kwa mganga ila nikaja kutembea na katoto flani uume ukagoma kabisa kusimama karibu miez sita, ikabidi nmtafute mtaalamu tu.Usiseme huwez kufanya jambo kamwe
Haaah hiyo hata bishop mwanya angeenda japo hawaruhusiwi kuoa
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
Hilo tu....mcheki mshana ,hapo atakusaidia tu
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
dmkali anakufaa, yupo humu jf, atakusaidia unavyotaka.
 
Achana NA uzinzi kwanza

Akunamganga atakusaidia ukiendekeza.mbunye
 
Mmmh!!! Yani hata kama umekataa ushauri tutakushauri kilazima, kwanza umeshakata tamaa kwa Mungu wako ambae Amemuumba huyo Mganga, akamuumba huyo aliekukosea na akakuumba wewe, ila ujue kwenda kwa mganga sio kuondoa tatizo bali ni kuongeza matatizo, hayo majini machafu ambayo mganga anayatumia kwa kazi yako, hawatamaliza shida yako bali kila siku utakuwepo kwa mganga kupeleka hizo pesa zako n.k., angalai usije ukajikuta unaishi maisha mabaya yalojaa Nuksi na mikosi, kumbe ni laana toka kwa mungu wako, na kila mikosi ikija utakimbilia tena na tena kwa mganga, kwa vile ulishasahau kama kuna Mungu, utakuja dhalilika vibaya sana hata kama si kifedha basi maradhi, Mungu akuongoze. Huu ni ushauri wa lazima, sijakwambia uufate, ukiusoma tu inatosha.
 
nani akuroge wewe mchimbachumvi kama mimi mwamini Mungu tuu bwana kushinda njaa siku mbili tuu unatafuta mganga...waganga hawasaidii wanakuongezea matatizo..
 
Najua wengi sana wanauhitaji na hawa wataalamu, sema ni issue ambayo mtu hawezi kuitangaza. Tuliozidiwa kama sisi ndo tunajitokeza humu kwa account mpya ili kupata msaada. Sasa katika kuhangaika huku na kule, nimefanikiwa kupata wataalamu wawili wote ni wazee wa uziguani. Nimepata huduma ya mzee mmoja na iko vizuri. Sasa, kama yeyote anajitaji, ani PM
Remember "Never say Never" hii dunia ina mengi, yanayoonekana na yasiyoonekana. Kama unaamua kumtegemea Mungu kwa kila jaribu, hakikisha kua una imani thabiti na unaomba bila kuchoka pia usiwe mtu wa kukata tamaa na kuchoka, lakini kama unajua katika hali ya kibinadamu huwezi kustahimili jaribu lililokupata kwa kuomba na kulia na kusugua goti kwa mda ambao Mungu atakupa, basi usiseme "I will never". Sikuwahi kuwaza wala kufikiria wala kutegemea kuiacha njia ya maombi, bali dunia ni kubwa kuliko tuifikiriavyo.
 
Kwa yeyote anaemfahamu mganga wa jadi wa ukweli, na alishawahi kumsaidia naomba ani pm. Sihitaji ushauri, nahitaji msaada huo tu.

Ni mkazi wa bongo hii hii. Nina shida ambazo siwezi kukaa kusikiliza ushauri mwingine Zaidi ya kutafuta suluhu kwa njia hii.

Naelewa ninachokifanya, kwahiyo msianze na mahubiri, hii ni dunia tu na dunia ina mengi. ni jinsi tu kila mtu anavyoamua kutatua shida zake ili maisha yaendelee. Tafadhari sana, nipo serious sana na nipo na wakati mgumu sana.

Naomba mwenye kumfahamu mtaalamu wa ukweli, ani pm namba yake au anielekeze alipo
We uko mkoa gani sahizi
 
Najua wengi sana wanauhitaji na hawa wataalamu, sema ni issue ambayo mtu hawezi kuitangaza. Tuliozidiwa kama sisi ndo tunajitokeza humu kwa account mpya ili kupata msaada. Sasa katika kuhangaika huku na kule, nimefanikiwa kupata wataalamu wawili wote ni wazee wa uziguani. Nimepata huduma ya mzee mmoja na iko vizuri. Sasa, kama yeyote anajitaji, ani PM
Remember "Never say Never" hii dunia ina mengi, yanayoonekana na yasiyoonekana. Kama unaamua kumtegemea Mungu kwa kila jaribu, hakikisha kua una imani thabiti na unaomba bila kuchoka pia usiwe mtu wa kukata tamaa na kuchoka, lakini kama unajua katika hali ya kibinadamu huwezi kustahimili jaribu lililokupata kwa kuomba na kulia na kusugua goti kwa mda ambao Mungu atakupa, basi usiseme "I will never". Sikuwahi kuwaza wala kufikiria wala kutegemea kuiacha njia ya maombi, bali dunia ni kubwa kuliko tuifikiriavyo.
Mkuu ulisaidika? Tafadhali PM me the contacts and info
 
Back
Top Bottom