Ni chuo gani nchini kinatoa Course ya Project Planning and Management

Goodluck Mshana

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
1,271
1,119
Wana taaluma nawasalimu

Naomba kwa anayefahamu chuo kikuu cha hapa nyumbani Tanzania kinachotoa shahada (degree) au shahada ya uzamili (masters) anisaide kunipa taarifa.

Katika vyuo utavyopendekeza naomba usikiweke UDSM. Nimesoma hapo kwa takribani miaka 7. I need a different test of Education now. Nahitaji kufanya Project Planning and Management nje ya UD.

Lakini hata kama utakuwa na Chuo kizuri nje ya nchi na kina offer hiyo course na kuna mazingira ya kupata fully funded scholarship itakuwa vizuri zaidi.

Usisahau kunipa link ya Chuo husika ili niweze kujua gharamana za kusoma hapo.

Asante sana kwa mchango wako wenye manufaa.

Goodluck Mshana
 
Wana taaluma nawasalimu

Naomba kwa anayefahamu chuo kikuu cha hapa nyumbani Tanzania kinachotoa shahada (degree) au shahada ya uzamili (masters) anisaide kunipa taarifa.

Katika vyuo utavyopendekeza naomba usikiweke UDSM. Nimesoma hapo kwa takribani miaka 7. I need a different test of Education now. Nahitaji kufanya Project Planning and Management nje ya UD.

Lakini hata kama utakuwa na Chuo kizuri nje ya nchi na kina offer hiyo course na kuna mazingira ya kupata fully funded scholarship itakuwa vizuri zaidi.

Usisahau kunipa link ya Chuo husika ili niweze kujua gharamana za kusoma hapo.

Asante sana kwa mchango wako wenye manufaa.

Goodluck Mshana
Mipango dodoma is the best.. Irdp.co.tz yaani institute of rural development and planning.
 
Mzumbe wapo safi saaanaaaa, ila huwa wanasema shule yake imekomaa hivyo inabidi ujiandae kuimiss JF kidogo, ukiendekeza social media wanasema utadiskooooo.
 
Mzumbe wapo safi saaanaaaa, ila huwa wanasema shule yake imekomaa hivyo inabidi ujiandae kuimiss JF kidogo, ukiendekeza social media wanasema utadiskooooo.

Asante sana comrade.. Mzumbe haitanisumbua ninaamini... Shule ngumu ipo UD na nilipita salama salmini
 
SUA wametangaza Master of Project Planning, Management and Evaluation itakayo anza 2016/17 kwa mawasiliano zaidi
FOR FURTHER INFORMATION, PLEASE CONTACT THE DIRECTOR, DIRECTORATE OF RESEARCH AND POSTGRADUATE STUDIES, SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE, P.O. BOX 3151, CHUO KIKUU, MOROGORO, TANZANIA. Telephone:+255 023-2640013, Fax: +255 023 2604388, E-mail: drpgs@suanet.ac.tz, Website: Directorate Of Research And Postgraduate Studies
 
Back
Top Bottom