Habari ya muda huu ndugu mwanajamii,
Naomba kueleweshwa na anaejua taratibu za kupata hati ya kudumu ya kiwanja alichonunua mzazi akaandika jina langu. Kiwanja kilinunuliwa nikiwa na miaka minne tu, enzi hizo kabla ya uwepo wa NIDA. Miaka 38 baadae, nataka kubadili ile hati ya karatasi ya...
Hivi ni kweli kama taifa, we've no way forward to act against all these brutalities? Kila mtu Sasa ni mlalamishi na mtoa habari tu. Let's be creative and innovate best way to make the hooligans accountable.
TV channel zetu zinachambua tu soka siasa aahh.
Vyombo vya habari vimekaa kichawa tu na watangazaji wanawinda nafasi za uteuzi hakuna namna wanaweza kuleta challenge kwa serikali. Hata ikitokea kuna uchambuzi wa kisiasa basi mgeni lazima aongee kwa kusifiasifia.
Watawala wanafurahia hali hii ya...
Yule mkurugenzi wa AICC aliyehamishwa juzijuzi, Mr Efraim Mafuru angetufikisha mbali sana kwenye hii Sekta. Alikuwa anaiona kesho kabla wengine hawajaamka.
Mosi, nitashusha umri wa hiyari wa kustaafu hadi kufikia miaka 50. Wastaafu watarajiwa wote watapata mafunzo maalum ya kuendesha viwanda vidogo vya kuchakata mazao ya kilimo mfano: kupack nyama/matunda, usindikaji wa mbogamnoga na mazao ya nafaka, kuongeza thamani kwenye bidhaa ghafi hususani za...
Ukiwa na fikra chanya sana kwenye hii nchi utaona hamna umuhimu wa kwa hata na bunge. Rais tu afanye anachoona kinafaa basi. Maana hawa wengine wote wanasupport tu mawazo ya rais kama raia wengine. Hamna mtu mwenye mawazo /mbinu kinzani ya kuboresha zaidi ya kusifia tu .
Ndani ya taaluma ya udaktari, kuna specialities nyinginyingi kama dentistry, surgical, orthopedics, ophthalmology, gynaecology na nyingine nyingi tu. Nadhani hizi tuhuma zinawalenga zaidi MD GP (Medical doctors General practitioners) ambao wengi wao wamebaki kuwa prescibers tu wa dawa sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.