Recent content by leiya

  1. leiya

    Hati ya kiwanja kwa watoto chini ya kiaka 18

    Mode please edit heading isomeke MIAKA badala ya KIAKA
  2. leiya

    Hati ya kiwanja kwa watoto chini ya kiaka 18

    Habari ya muda huu ndugu mwanajamii, Naomba kueleweshwa na anaejua taratibu za kupata hati ya kudumu ya kiwanja alichonunua mzazi akaandika jina langu. Kiwanja kilinunuliwa nikiwa na miaka minne tu, enzi hizo kabla ya uwepo wa NIDA. Miaka 38 baadae, nataka kubadili ile hati ya karatasi ya...
  3. leiya

    Bado nani sijamu UNFOLLOW Yanga?

    Azam FC wakikaa vizuri hapa, wanaweza wakavuna mashabiki wakutosha.
  4. leiya

    Unapiga side hustle gani kukuingizia kipato?

    Nipe bei ya hili dirisha tuone kama tunaweza kufanya kazi. Urefu 240 Upana 198 Frame ya Grey, 10 cm kioo kiwe Cha 5mm
  5. leiya

    LGE2024 Freeman Mbowe: Tunalaani mauaji na kujeruhiwa kwa wagombea, viongozi na wanachama wetu kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Hivi ni kweli kama taifa, we've no way forward to act against all these brutalities? Kila mtu Sasa ni mlalamishi na mtoa habari tu. Let's be creative and innovate best way to make the hooligans accountable.
  6. leiya

    FT: CAFCL | Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024

    Hivi makipa wengine wa YANGA watacheza mechi zipi za CAF maana Hadi mechi ya kawaida kama hii ya Leo Diara ndio amepewa jukumu la kulinda lango.
  7. leiya

    Vijana wa miaka 20 Kenya wanajadili mustakabali wa nchi yao kwa weledi mkubwa sana. Vijana wa Tanzania wanakwama wapi?

    TV channel zetu zinachambua tu soka siasa aahh. Vyombo vya habari vimekaa kichawa tu na watangazaji wanawinda nafasi za uteuzi hakuna namna wanaweza kuleta challenge kwa serikali. Hata ikitokea kuna uchambuzi wa kisiasa basi mgeni lazima aongee kwa kusifiasifia. Watawala wanafurahia hali hii ya...
  8. leiya

    Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

    Yule mkurugenzi wa AICC aliyehamishwa juzijuzi, Mr Efraim Mafuru angetufikisha mbali sana kwenye hii Sekta. Alikuwa anaiona kesho kabla wengine hawajaamka.
  9. leiya

    Leo ukipewa nafasi ya kuwa Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira utafanya nini kuongeza Ajira nchini?

    Mosi, nitashusha umri wa hiyari wa kustaafu hadi kufikia miaka 50. Wastaafu watarajiwa wote watapata mafunzo maalum ya kuendesha viwanda vidogo vya kuchakata mazao ya kilimo mfano: kupack nyama/matunda, usindikaji wa mbogamnoga na mazao ya nafaka, kuongeza thamani kwenye bidhaa ghafi hususani za...
  10. leiya

    Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

    Awe makini asije akafika hiyo June bila uwaziri.
  11. leiya

    Nashauri Naibu Waziri Mkuu atenguliwe na nafasi hiyo ifutwe kwa maslahi ya Taifa

    Ukiwa na fikra chanya sana kwenye hii nchi utaona hamna umuhimu wa kwa hata na bunge. Rais tu afanye anachoona kinafaa basi. Maana hawa wengine wote wanasupport tu mawazo ya rais kama raia wengine. Hamna mtu mwenye mawazo /mbinu kinzani ya kuboresha zaidi ya kusifia tu .
  12. leiya

    Madaktari wengi ni misukule walio hai

    Ndani ya taaluma ya udaktari, kuna specialities nyinginyingi kama dentistry, surgical, orthopedics, ophthalmology, gynaecology na nyingine nyingi tu. Nadhani hizi tuhuma zinawalenga zaidi MD GP (Medical doctors General practitioners) ambao wengi wao wamebaki kuwa prescibers tu wa dawa sio...
Back
Top Bottom