Awajaishiwa pumzi ila nyinyi raia ndio mnawamaliza pumzi kesho mtakuj kupik kelele na kusem serikal ipo wapi kipindi ambach nyinyi ss ndio mtakua amn pumz kwanza maandamano ya nn ss mnatak kwenda sokon n ndege au bad mtaend kwa mguu mkishamaliz hy maandaman
Kwanza hay maandaman si yanasukwa huko mitandaon lazim asem kwakua kitakachokua hatarin ni nchi sio mitandaon mbn maaskar wamakamata wale wanaofumaniwa awasem ni mamb ya guest
Mi nataman ningekua black beuty man nilipat nafas ya kuwa model lakin waliitaj mweus ten km lam ss watu wanaend dukan kuutafut huo weupe wakat tulio nao tunautamn jamn kwel tujifunze kulidhika
Anaanjae house girl kunitoa kwangu, kwanza kujua kupik sio lazim muhimu kuhakikisha mumeo anashiba na nawez kua sijui kupik ila ktk 6 kwa 6 nikawa fundi hilo ndio muhimu hiz za kupik mi sio chief cooker .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.