Vijana wa siku hizi mnachangamoto sana.
Iko hivi, tafuta rafiki yako mwenye busara na unaemuamini sana. Mshirikishe hili jambo.
Then fuata ushauri wake.
Nakuambia hivyo kwa sababu hata mimi yalinikuta kama yako. Nikamshirikisha jamaa yangu wa karibu.
Jibu alilonipa akaniuliza , unajua kwa nini...
Vijana wa siku hizi akili zenu sijui zikoje. Tuma nauli kwa mwanamke ambaye ushawahi kumlq. Uyo hawezi kimbia na nquli.
Uyo wa first time humu8ni ng*o. Jiandae kupiga nyeto
Hayo ya kutafutq hesjima yalikua enzi za bibi zetu sio wanawake wa sasa ambapo ukimuoa unaambiwa akikushinda mrudishe. Bibi zetu kipindi wanaolewa wanaambiwa hapa hurudi tena huna mji. We timiza majukum yako na kuwe na mipaka ya kutovunjiana heshima.
Hoja mufilisi
Unaweza kukuta kina Massawe,shayo Sanga wamejenga maeneo ya ukanda wa pwan na wanaishi vizuri. Huwezi kuta Pazi, Shehoza au Sanga kajenga vijiji vya Kilimanjaro. Sasa nani anakataliwa na wenyeji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.