Recent content by Legeza mwendo

  1. Legeza mwendo

    Wapi naweza kupata vitoto vya ngurumwe Jijini Arusha?

    Kila la kheri mkuu, mi nimetafuta nguruwe wa kisasa huku mbeya nimekosa kabisa hadi nimeamua nichukue hawa hawa wa kawaida.
  2. Legeza mwendo

    Yanayotokea Ngole kwa amri ya RC Mbeya

    Kwani hicho kijiji kipo wilaya gani?
  3. Legeza mwendo

    Ni kitu gani ulishawahi kusema huwezi kufanya kwenye mapenzi/mahusiano ila ukaishia kufanya?

    Mimi nilikua na msimamo zaidi yako mzee, kule kuacheni jinsi kulivyo, ni kama cocane
  4. Legeza mwendo

    Ni kitu gani ulishawahi kusema huwezi kufanya kwenye mapenzi/mahusiano ila ukaishia kufanya?

    Kwenda uvinza, mwanzoni nilikua naona eti kinyaa, ila kwa sasa nimekua teja
  5. Legeza mwendo

    Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku

    Sijui kama nitakua nipo sahihi but kwa jinsi nilivoelewa ni kwamba azam, dstv na zuku wana option mbili, either kuonesha bure au kuziondoa, azam wameona waondoke na hii ya kuziondoa kabisa kuliko kulipia.
  6. Legeza mwendo

    Kuajiriwa ni utumwa hizi ndo sababu zilizonifanya nikaacha ualimu

    [emoji1] [emoji1] jamaa kasema ualimu unalipa
  7. Legeza mwendo

    Kuajiriwa ni utumwa hizi ndo sababu zilizonifanya nikaacha ualimu

    Hahaaa kwanini mkuu? Kazi ya ualimu ni utumwa kaka, sitaki hata kuisikia kwa kweli, bora nije tubanane huko huko tu.
  8. Legeza mwendo

    Kuajiriwa ni utumwa hizi ndo sababu zilizonifanya nikaacha ualimu

    Mkuu usijali, hauko peke yako soon mwenyewe naacha ualimu bora niwe hata bodaboda
  9. Legeza mwendo

    Kwa wenye uzoefu wa ufugaji wa kuku msaada

    Asante mkuu, nilichogundua anataga mara mbili kuna muda asubuhi kuna kuku nilimshuhudia akitaga, jioni hii nilipoenda kuwaangalia tena nimemshuhudia kwa macho yangu kuku yule yule akidondosha yai ila kwa sababu lilikua laini likapasuka, labda kama niliwachanganya, ila nashukuru kwa ushauri mkuu
  10. Legeza mwendo

    Kwa wenye uzoefu wa ufugaji wa kuku msaada

    Habari za kazi wakuu? Naomba niende straight kwenye point yangu, nimekua nikifuga kuku wa kienyeji kwa mwaka sasa lakini kuna tatizo nimelipata siku za karibuni baadhi ya kuku wanapasua mayai wanakunywa na kula maganda yake kama hiyo haitoshi pia kuna baadhi ya kuku wamekua wanataga mara mbili...
  11. Legeza mwendo

    Home of AC Milan, Official Thread

    Photo of Han Li and Fininvest CEO Pellegrino signing the documents of the closing
  12. Legeza mwendo

    Home of AC Milan, Official Thread

    Fininvest CEO Danilo Pellegrino and Head of Business Alessandro Fransozi have arrived at the law firm for the signing of documents.
Back
Top Bottom