Mimi nimempa dawa za Ki sunna..ni utaratibu wa maisha ambo Mtume wetu ametutaka tuishi...dawa nilizompa hapo hazina side effect yoyote ni kama unakula chakula tu..nafikiri huijui Tiini ni nini,pia hujui matumizi ya kitunguu thomu zaidi ya kupikia nyama...kuhusu suala la damu najua akienda...
Habari yako...Mwambie aende hospitali na apunguze damu mwilini kwa kuwachangia wagonjwa au kuweka katika blood bank. Pia mwambie atumie matunda yanaoitwa tini..ale kokwa 7 asubuhi na 7 akitaka kulala....pia tafuta vitunguu thomu vile vidogo na awe anatafuna 7 asubuhi 7mchana na 7 usiku.....pia...
Katika Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Taurati,Zaburi,Injili na Qur-ani kutiziamia kwa kufuata nyota ni ushirikina...Kwa hio sishangai kwa walioandika vitabu vya mkusanyiko (BIBILIA) na wao kuliona hili.....
Tafuta asali safi...Saga tangawizi mbichi,mapoja vitunguu thoumu na pilipili manga(black pepper) kamua juice hii weka kwenye kikombe cha asali kunywa mara 3 kwa siku....Kama bado utakua nayo flue ni Pm na tutawasiliana zaidi....
Mkuu ni wazo zuri...ila ni zoezi zito..ili dunia hii ufanikiwe lako...lazima uungwe mkono na Mabwana wa dunia hii...Suali linakuja Je wamarekani wanaweza kukuunga mkono kwa wewe kudai fidia ya Utumwa? wakati wao na wajerumani walikua ni vinara?....Kila kheri mkuu tuko nyuma yako tunakuunga mkono!
Si kosa kuwadhihaki miungu wa kisanamu...ila ni kosa kumdhihaki Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na Ardhi..ambae hawezi kumkubali Lowasa kuwa kiongozi wa Tanzania...labda afanye uchakachuaji..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.