Recent content by leez salu

  1. leez salu

    Nimesoma vitabu 655 na haya ni mapinduzi makubwa saba yaliyotokea maishani mwangu

    Lipo kubwa tu..nenda fb .na kuna tamasha hivi karibuni la vitabu
  2. leez salu

    Naomba msaada kuelewa kuhusu risiti za ulinzi shirikishi

    Mtaa gani huko [emoji23][emoji23]mbona kma utapeli
  3. leez salu

    Wakazi wa Dar hii tabia inazidi kukithiri

    Mkoa gani huo wanaogombania kutoka [emoji16][emoji16]
  4. leez salu

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Mwenye wimbo wa wrong number shetani wa kinondoni revival choir....
  5. leez salu

    Maisha plus mmeonyesha udhaifu kwa mshindi

    Watanzania Nouma kila Kitu wanapinga .....mfano miss Tanzania juzi ooh hakustahili ilifaa Fulani...Maisha plus oooh kwanini wamempa mkenya..Haya wangempa mtanzania huyo wa Dodoma wangesema ooh kwanini hawakumpa yule....Tujifunze kukubali hali.ama sivyo andaa ya kwako umpe unayemtaka.
  6. leez salu

    Msaada pc inachagua flash

    pc aina ya dell inachagua flash ni flash yangu tu 2gb inayosoma nyingine hazikubali...nmeshauriwa nibadilishe window maana kuna key zimemisi..msaada kabla ya kubadilisha window naweza nkafanya nini?
  7. leez salu

    Naomba msaada simu yangu Tecno N7 inagoma kudownload

    asante khalfan56 ubarikiwe sanaa....imefanikiwa
  8. leez salu

    Naomba msaada simu yangu Tecno N7 inagoma kudownload

    kivip yaani nabonyeza wapi yaani naenda wapi. rakims
Back
Top Bottom