Hii inahitaji uelewa mdogo tu. Biasharara fake maana yake pesa zilikuwa nyingi mitaani ndio maana jamaa yakoakawa pia ana wateja wengi na hivyo mauzo makubwa. Baada ya biashara fake kupigwa marufuku sasa imebaki biashara halali yenye kuonesha kipato halisi cha mtu. Watu kama madalali wakiondoka...
Tatizo ninaloliona katika uchangiaji hii mada ni kutokujua contractual terms zilizoingiwa baina ya wawekezaji na viongozi wa serikali?!! Kama terms zinastipulate jinsi ya kupeleka mchanga kwenye smelting process utasindikizwa na watanzania ili wafahamu mwisho wa zoezi kumepatikana KG ngapi na...
Jamboni wote wana JF. Nimekuwa nikiwaza sana bila kupata majawabu ndipo nimeona niombe kwenu msaada. Ni kwamba maishani mwangu sijawahi kuona mwanamke yeyote yule aliye na upara kichwani. Hii inamaanisha kwamba vipara ni kwa ajili ya wanaume tu? Siku za nyuma niliamini kuwa ndevu ni kwa wanaume...
Mwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.
Asante kwa habari maridhawaBold. Tuweke pia sawa juu ya maslahi ya Amerika in S.Korea likewise Russia in N. Korea kama yapo. Carrier kubwa yaweza kuwa na ukubwa gani area sq m ?
Tanzania ni nchi kubwa sana katika hizo ulizozitaja. So Imeanza na hao watafuata. Usiwe kila leo unataka kuiga tu kila jambo, bali uwe mtundu wa kupenda kuwa creative watu waige ujuzi wako.
Swala la pili ambalo hata mimi sina uhakika nalo ni je, cheo cha uenyekiti kina malipo?
Si mkereketwa wa...
Hili ni tatizo kubwa la elimu ya watanzania na inainesha wanatumika. Hawajui kama mbunge si kazi yake kugawa chakula ama kutoa elimu bali kushinikiza serikali kutekeleza hayo majukumu. Na ndipo hata watendaji serikalini ww
akijua mtu kama huyu danford hajui nao wanapotezea hawatendi majukumu yao.
Nadhani unamaanisha Dr. Kaushik. Ni kweli huyu ni mtaalam sana anaweza kuea msaada. Lakini pia ushauri wangu ni kuwa choo kinachokuwa na harufu kali mara nyingi ni case ya minyoo. Hebu tafuta wataalam wa magonjwa ya minyoo nao wakushauri. Pole sana ndg.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.