Mie nakumbuka siku Rais Nyerere, enzi hizo, akija tulikuwa tunapelekwa uwanja wa ndege kumsubiri kushangilia saa tatu asubuhi, yeye anafika saa 11 jioni. Hiyo ni miaka ya 1970.
Mie nakumbuka siku Rais Nyerere, enzi hizo, akija tulikuwa tunapelekwa uwanja wa ndege kumsubiri kushangilia saa tatu asubuhi, yeye anafika saa 11 jioni. Hiyo ni miaka ya 1970.
Pale kanisa katoliki musoma kulikuwa na Padre James akimaliza misa anavua joho anaanza kupiga makofi watoto waliokuwa wanacheza kanisani.
Miaka ya mwanzoni 70 hiyo.
Pale kanisa katoliki musoma kulikuwa na Padre James akimaliza misa anavua joho anaanza kupiga makofi watoto waliokuwa wanacheza kanisani.
Miaka ya mwanzoni 70 hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.