Mkapa signed bad mining deals, Magufuli wants to bury them, but legally he can’t

Tunaelewa sana usifikiri hatuelewi kilichoandikiwa.

Tunachosema kwanini kuwe na taarifa potofu kuhusu kilichopo ndani aidha kimeidhinishwa na Serikali au la hiyo siyo issue kwasababu tunajua kilichokuwa kinaendelea kupitia Mgongo wa Serikali.

Hata kama acacia wana haki kisheria kusafirisha makinikia hilo linajulikana wala halina shida.

Hapa tunataka kujua kwanini taarifa zilizokuwa zinaandikwa hazikuwa na ukweli kuhusu kilichokuwa ndani ya makontena mpaka Tume imeyaona yote hayo.
Tupe taarifa mbadala ambazo ni za kweli
 
Kweli unanena ila unasahau kuwa wewe unawapa ulaji waliohusika na unawapigania. Hapa ndo tanzania na Afrika tunabaki nyuma.

Udhaifu wa viongozi wetu wa zamani si mwanya wa kuitafuna nchi ila ni wa kujisahihisha. Unapopiga porojo humu angalia unavyotetea hao ulionao.
Ukiwa unaakili huwezi kuumizwa na aliyenje ya SYSTEM kuliko aliyekwisha kukomba bado anapewa nafasi nyingine ya kukwapua.

I don't care about Lowassa & Sumaye,bado serikali inauwezo wa kuwafungulia mashtaka kama wamehusika pia.Ninachohitaji ni HAKI kutendeka,tusiseme tunapiga vita rushwa na ufisadi wakati waliotupiga tunawapa ulaji tena mkubwa zaidi.
 
Nchi hii mtu akiwa honest na kuelezea uhalisia wanatokea wapuuzi watamwita sio mzalendo!!! Hawa wanadhani uzalendo ni kuunga mkono kila kinachotoka serikalini hata kama ni cha kijinga!!!

Mbaya zaidi ni kama hawafahamu uzalendo ni nini hasa!!! Hawa wanadhani uzalendo ni kuwa loyal kwa serikali kumbe uzalendo ni kuwa loyal kwa nchi.

Kama mtu anaamini serikali iliyopo itaiingiza nchi shimoni basi mzalendo wa kweli ni yule atakayepambana na serikali for the sake of the country!

Mzalendo ni yule ambae, kama ni mwanasiasa, basi yupo tayari hata kufukuzwa uanachama wa chama chake for the sake of the country!!!!

Kinyume cha hapo, hawa wanaojifanya wazalendo wakati kimsingi ni watetezi wa chama na serikali majority ni waganga njaa tu!!

Mbaya zaidi, wengine ndo maju'ha zaidi manake hawa utakuta si loyal kwa chama tawala wala kwa serikali bali ni loyal kwa mtu au watu simply because top leaders ni watu wa kwao... tena kwao yenyewe ni kwavile tu wanatoka mkoa mmoja!!!
Tatizo ninaloliona katika uchangiaji hii mada ni kutokujua contractual terms zilizoingiwa baina ya wawekezaji na viongozi wa serikali?!! Kama terms zinastipulate jinsi ya kupeleka mchanga kwenye smelting process utasindikizwa na watanzania ili wafahamu mwisho wa zoezi kumepatikana KG ngapi na ili kupata mrabaha halali wa serikali ama wawekezaji watafanya yote wao na kutuarifu walichopata.
 
Kweli kabisa. Nafuu tumuombee Sumaye aliyekuwa PM kwa miaka 10 na kulamba mali zetu na kushiriki kufanya mikataba hii miovu na Lowassa aliyejitajirisha kwa mali zetu na 2014/15 akaturudishia kwa mgongo wa kutaka Ikulu
Sitamuombea yeyote tena .
 
Mnawatetea akina Sumaye kuwa si wezi kwavile wamekuja kwetu, harafu unaleta slogan rahisi kuwa wakili!!!
Harafu wakikiri???

Muulize Mbowe kuwa mbona ulisema "EL ni mwizi", kwanini umempokea?
Lkn ndg lazima ujue kitu hapa ni kuwa Taasisi zetu za serikali zilikili kabisa kuwa kutokana na uchunguzi wao ni kuwa kile kilichowakilishwa na Acacial ni kweli na nisawa hivyo wakapewa go ahead sasa inapokuja serikali hiyo hiyo inasema tena sio kweli huoni taabu inaanzia hapo
 
'which report are you talking about?'

huko Madrassa ulienda kusomea ujinga??
Humu JF kuna watu wanajifanya kujua kila kitu,we can not call that one broken English, maybe it is kiswanglish,some people here should keep their mouth shut,instead they utter nosense.
 
Mimi namwamini Sumaye tu aliyekuwa Waziri Mkuu wakati wa Kusaini hii mikataba. Maana amekuja kwetu na anataka achukue tena taifa pamoja na jamaa yake EL aliyetuibia lakini akatubu.
kwanini mnawaacha wanazagaa tu tena washatoka katika chama chenu cha utetezi simuwafungulie kesi muwashitaki
 
Humu JF kuna watu wanajifanya kujua kila kitu,we can not call that one broken English, maybe it is kiswanglish,some people here should keep their mouth shut,instead they utter nosense.

A perfect pure English.

By the way, I dream in English. Do you?
 
Tatizo ninaloliona katika uchangiaji hii mada ni kutokujua contractual terms zilizoingiwa baina ya wawekezaji na viongozi wa serikali?!! Kama terms zinastipulate jinsi ya kupeleka mchanga kwenye smelting process utasindikizwa na watanzania ili wafahamu mwisho wa zoezi kumepatikana KG ngapi na ili kupata mrabaha halali wa serikali ama wawekezaji watafanya yote wao na kutuarifu walichopata.
Kufahamu contractual terms ni ngumu. Hata hivyo utaratibu, or at least official procedures (inawezekana zisitumike) zilizopo ni kwamba Acacia wanachukua sample kivyao na kuzipima. TMAA nao wanachukua sample na kuzipima. Hayo yanafanyika pale pale mgodini.

Results za Acacia na TMAA zikifanana (kuna acceptable error margin) makontena yanakuwa sealed tayari kwa kusafirishwa.

Kule yanakopelekwa yakifika nao wanachukua sample na kupima kisha result zao zinalinganishwa na hizi za Acacia & TMAA. Zikifanana hapo mzigo unakuwa clean.

Endapo dunia ingekuwa imejazwa na honest people, hiyo control measure ingetosha kabisa!!!
 
..hivi kwanini serikali haitafuti mteja wa dhahabu na madini mengine yaliyopo kwenye hayo makontena?

..tumeambiwa tume imepima na kukuta dhahabu sawa na Tipper mbili zilizojaa rumbesa, na landrove moja.

..suluhisho ni kuwalipa acacia kile walicho declare-- tume imetuhakikishia kuwa ni kiduchu.

..Baada ya hapo serikali iuze mchanga wenye madini ambayo thamani yake ni 10 times kile walicho declare acacia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Baada ya mzee ruksa kuleta ahueni ya maisha, chinga alituona wa tz malofa akagawa rasilimali na mashirika ya nchi kwa tamaa ya pesa. Kumbuka alihamisha pesa nyingi kwenda south na kununua hotelimoja ya kifahari huko ktk mji mmoja wa starehe. Chinga aliwahi gombea mnara wa dhahabu na madam kupelekea kuumizwa mguu na kupelekwa Ujerumani kwa upasuaji. Kwa kweli chinga na yule balozi wake aliyestaafu ubalozi akiwa na miaka 43 wanapurura mali zetu hadi sasa. Magu fanya mageuzi tuko nyuma yako hatuna uwezo kinafasi ya madaraka au uwana sheria lakini maombi yetu yatapokelewa na mungu utashinda vita hii. Hawa mawakili Liku na Ulidunia washapewa pesa na Acaasia na niliyowataja hapo juu hivyo kuleta pingamizi la kisheria badala ya kusaidia mali zetu zikome kuporwa. Ulidunia alishasemwa sio raia na hii inajihidhirisha kwa kuwa upande wa wanaopora rasilimali zetu.
 
Back
Top Bottom