1.Kwamba Leo Watumishi Wenye Vyeti Feki Waliachishwa Kazi...! Lkn Ma.k.onda ....
2.Et kwamba kuna Mama Wa Kambo Mtarajiwa Wa Jesika
3. Kwamba leo makonda ana power Magogon kuliko Rz1...
*Jamani ni mawazo tu....*
Ni Kwel Kuwa Shetani Anaharakati Nyingi Sana Kufikia Malengo Yake. Lkn Yatupasa Kukaa Vyema Na Mungu Wetu Ili Kuvitakasa Vilivyo Vya Shetani Kwa damu ya YESU.
AMINI.
Mimi nilikiwa mwalimu wa leseni yaani induction course ! nimeshajiendeleza na kupata shahada ya ualimu miaka 2 iliyopita.
Tatizo lipo kwenye kubadilishiwa mshahara yaani mpaka sasa sijabadilishiwa.
Hatua nilizopitia ni pamoja na kupeleka taarifa zangu ofsi ya utumishi wa umma,mkurungezi WILAYA...
Bukombe-(ushirombo ) geme wa bukombe wahuni fulani hivi niliwahi kuwashuhudia siku moja wakikusanya mbao kutoka kwa mafundi selemara! Karibu na sheli ya rupirya.
Kwenye kuvua pete!! Da?
Nakunbuka uliulizwa
"utavumilia katika shida na raha x 3" ukasema
"ndiyo x 3"
wewe flora unataka "katika raha tu"?
VAA HIYO PETE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.