Recent content by Lee2

  1. L

    Siasa bana: Kwamba leo Shonza ni naibu waziri, Nape nje. Dah....!

    Et Lizabon Na Rz1 Hawaonekani Jamii Forums Wakitetea Chama Daaa!
  2. L

    Siasa bana: Kwamba leo Shonza ni naibu waziri, Nape nje. Dah....!

    1.Kwamba Leo Watumishi Wenye Vyeti Feki Waliachishwa Kazi...! Lkn Ma.k.onda .... 2.Et kwamba kuna Mama Wa Kambo Mtarajiwa Wa Jesika 3. Kwamba leo makonda ana power Magogon kuliko Rz1... *Jamani ni mawazo tu....*
  3. L

    Electronic money system(Mobile money system) ni mfumo wa kishetani

    Ni Kwel Kuwa Shetani Anaharakati Nyingi Sana Kufikia Malengo Yake. Lkn Yatupasa Kukaa Vyema Na Mungu Wetu Ili Kuvitakasa Vilivyo Vya Shetani Kwa damu ya YESU. AMINI.
  4. L

    Msaada twa kubadilishiwa mshahara baada ya kuongeza elimu

    Mimi nilikiwa mwalimu wa leseni yaani induction course ! nimeshajiendeleza na kupata shahada ya ualimu miaka 2 iliyopita. Tatizo lipo kwenye kubadilishiwa mshahara yaani mpaka sasa sijabadilishiwa. Hatua nilizopitia ni pamoja na kupeleka taarifa zangu ofsi ya utumishi wa umma,mkurungezi WILAYA...
  5. L

    Askari wa wanyamapori waua mtu Bukombe

    Bukombe-(ushirombo ) geme wa bukombe wahuni fulani hivi niliwahi kuwashuhudia siku moja wakikusanya mbao kutoka kwa mafundi selemara! Karibu na sheli ya rupirya.
  6. L

    Hatimaye mume wa Flora Mbasha afikishwa mahakamani

    Mungu ndo atamtetea hata kama wanadamu watamtenga!
  7. L

    Hatimaye mume wa Flora Mbasha afikishwa mahakamani

    Mungu amlinde kama hajatenda hilo kosa! Amen
  8. L

    Mbasha: Gwajima niachie mke wangu (gazeti la uwazi)

    Kwenye kuvua pete!! Da? Nakunbuka uliulizwa "utavumilia katika shida na raha x 3" ukasema "ndiyo x 3" wewe flora unataka "katika raha tu"? VAA HIYO PETE.
Back
Top Bottom