Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Mheshimiwa, kumbuka ahadi yako.Isije ikawa ulitudanganya ukitafuta umaarufu wa kisiasa. Hata kama hauwezi kutufanyia albadir, tunaomba utuelekeze ni wapi. tutakusanya hela zetu ili tunafinishe shuguli ya kuwaumbua hawa wakatili waliopoteza mwelekeo. Tunaomba usiogope. Kama vipi anzisha thread humu na jina la kalamu ili tupate maelekezo ni wapi pa kwenda. Jana Bar moja hapa mjini waungwana wengi wamelijadili hili swala na wapo tayari. Njia yoyote ile sisi tupo tayari. Kwa ndio njia pekee ya kujikomboa dhidi ya hii serikali ya kidhalimu inayoongozwa na dhaifu M-Kwere. anajifanya swala tano, tuone kama atapona Al-badir