Mshumaaa
Senior Member
- Sep 26, 2012
- 156
- 17
Jamaa ni Fundi seremala alikuwa na vijana wake wanamchania mbao porini.
Askari waliwakuta vijana wakiendelea na kazi waliwapiga sana na baadaye kuamuru wale vijana wampigie simu bosi wao. Alipofika alipokewa kwa kipigo hadi kupoteza fahamu na baadaye wamempeleka Hospitali akafia huko.
Kwenye maelezo yao wanasema baada ya kufika kwenye eneo la tukio alianguka mwenyewe Kwa kupooza ghafla kitu ambacho hakiingii akilini hata kidogo.
Askari waliwakuta vijana wakiendelea na kazi waliwapiga sana na baadaye kuamuru wale vijana wampigie simu bosi wao. Alipofika alipokewa kwa kipigo hadi kupoteza fahamu na baadaye wamempeleka Hospitali akafia huko.
Kwenye maelezo yao wanasema baada ya kufika kwenye eneo la tukio alianguka mwenyewe Kwa kupooza ghafla kitu ambacho hakiingii akilini hata kidogo.