Kabisa maana tumekosa clear chances Tatu kabisa ya FEI toto dk za mwisho, faridi nae alizingua kwenye Sita na kichwa cha mwamnyeto
Hope yule namba 10 tuliesajili atatusaidia kuweka kambani baadhi ya chance tunazopoteza pia tunatakiwa ku add quality kwenye attack tunamhitaji mtu lethal kule...
Hatimaye VPN kanirudisha jukwaaani
By the way tunaomba mwenye namba ya Ole ampigie a mwambie namba ya Fred isiguswe kama ya David degea pia asisahau kumwambia Fred improve pasi zake
#GGMU
Hahahahahah nakubaliana na wewe kabisa kwenye jukumu la kufunga bado Sana aisee
Ila kwa washambuliji tulionao mi huwa naona bora akianza yeye maana huwa anajitahidi kukaa na mpira kuliko sogne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.