90% ya majina ya kinyakyusa yamekaa kiimani zaidi, kwahiyo jina lolote ukiambiwa maana yake husianisha na Mungu.
Hapo ina maana unisamehe Mungu. Anyways Mwachiluwi hapo bado kuna Umboke, Lusajo, Amanyisye, Tukupilika, Tukusuma, Ulimboka, Alinanuswe, Gwamahala, Nelusigwe
Jina pekee la...