tofauti naiona kubwa sana, kipindi cha mrema watu walimsupport mrema kama mrema lakini sio chama kama taasisi. Yani Mrema ndio alikua kila kitu pale NCCR. Kwa CDM naona Mbowe ni kama sehemu ndogo tu ya CDM kama taasisi, kwa maana sasa CDM kuna watu wengi sana ambao wana mvuto wa kisiasa na wana...
nenda kwenye kota zao kijitonyama kamuulizie mlinzi pale getini atakupa details zote na kama unafaa nadhani watakuchukua baada ya kukuchunguza kwa undani
Safari njema uendako na usirudi tena........eti watanzania wote tumechukizwa!!!!mbona mi mtanzania na sijachukizwa. Sema wewe ndo umechukizwa na usitujumuishe wote...
Dah, leo ndo naamini kuwa Mwigulu ni janga la Kitaifa......nimechelewa sana kuamini lakini kwa hili hakuna ubishi... Jamaa kaipeleka Simba ili apambane na Dr Slaa. Dah vitu viwili tofauti kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.