mabesela
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,294
- 680
Ndio hapo nimeshangaaje na kusikitika mwanzoni nilisema hawa wanatumiwa na isitishe wamehongwa sasa kila kukicha wanaona lengo lao halitiimi inabidi waanze plani B. waliyoiandaa ya kuvuruga mchakato mzima wa Katiba.
Sikutegemea Lipumba awaka very low kiasi hicho kwa kuwaita wenzie interahamwe huku akijua fika kuwa Interahamwe ni kundi la kihutu lililoongoza mauaji ya Kimbari nchini Rwanda.. Hivi ukiunganisha nukta hupati jibu Kagame alishawahi kumtusi Kikwete anawasaidi FDRL ambalo ni kundi la Kihutu lililohusika na Mauaji ya Kimbali. Kisa tu alitoa ushauri wazugumze.
Sasa Lipumba kaona bora atamke Interahamwe kwa sababu wimbo ni ule ule wa kuwaambia Watanzania wote Wanaopenda amani, umoja na muungano uendelee leo wamekuwa ni wenye chuki na wanaojiandaa na mauaji ya Kimbari. kama INTERAHAMWE.
KWELI KUWA MZEE SIO KIPIMO CHA HEKIMA.
Lipumba yuko sahihi sana..ccm ni chronic killers, nitawachukia daima walimuua dada angu mwenye ujauzito kule kwe2 Mtwara, Nyerere alimuua Kolimba, walimuua mjumbe wa tume ya Warioba wamekosakosa Dr.Ulimboka kwa uchache wake ni hayo maana orodha haitaisha.