Nawalaumu sana watu waliomchagua SUGU kuwa Mbunge!
tehe tehe tehe! kagame alimuuliza kikwete aliwahonga nini watanzania mpaka wakamchagua!?
Nawalaumu sana watu waliomchagua SUGU kuwa Mbunge!
Akutukanaye hakuchagulii tusi"yap jamaa ni kichwa japo hana elimu kubwa hapo anagusia SAMPLING hata mm nliipenda hyo...
Hata saa mbovu kuna wakati huonyesha mda sahihi haswa ukufika mda ule ilipoharibikiatehe tehe tehe! kagame alimuuliza kikwete aliwahonga nini watanzania mpaka wakamchagua!?
inachukuliwa damu kidogo kwenye kidole ndiyo wanaona ngoma imekaa vipi....hapo aliniacha hoi kweliHaaaa haaa !! Wengine wanashindwa kukaa kimya , mi alia ha hoi aliposema, hata mgonjwa anapimwa damu kidogo tu , hatuchukui dumu la lita tano , ili tujue mtu ana malaria au ukimwi ,,,,
Wenyewe wanamkubali sana, wazee kwa vijana. Wanadiriki kumwita Rais wa Mbeya, kule anakubalika kuliko kiongozi yeyote wa kitaifaNawalaumu sana watu waliomchagua SUGU kuwa Mbunge!
sugu ni chizi..laana ya kumtelekeza mke wake na mtoto inamtafuna
jilaumu na wewe kumchagua kikkwete kuwa raisi..
wahuni waheshimiw wako wengi sana...sugu mwenyewe anasubiri.
Wengine Humu Ndani Wanachuki binafsi,
Call spade a spade and not a big spoon,
Sugu Alinikosha
Yaani hii output ndio mchizi anavuta kilo 3 kwa siku, na wewe unamuona kichwa?? si bora angekaa kimya ndio katiba mpya itaandikwa hivi??
Now days inaonyesha hili jukwaa linawatoto wengi sana hasa wasiokuwa na issue zakufanya kuna vitu vyakusifia jamani,wapo watu chadema wenye uwezo wakujenga hoja ila kwa sugu hapana
sugu ni chizi..laana ya kumtelekeza mke wake na mtoto inamtafuna
Nawalaumu sana watu waliomchagua SUGU kuwa Mbunge!