Habari mkuu. Nimepangiwa ajira katika halmashauri ya Mlimba. Sijajua nitapangiwa kituo gani cha kazi (shule).
inaonekana ni mwenyeji, naomba unipe ABCs kuhusiana na wilaya ya Mlimba.
Natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.