Nakumbuka bro ni mwalimu sasa alijichanga akanunua boda akampa mzee mmoja ebwana yule mzee kumbe ana oda zake za kusambaza nyama kutoka Mombasa mikocheni mpaka mbezi miezi 8mzee kamaliza Hela ya bro,kimbembe bro kumbe akipewa Hela anakula na mkewe na hawara wake kesi mpaka polisi mzee kaja na...
Nakumbuka 2015 tulienda kisarawe sehemu panaitwa kazimzumbwi kufika kule tukaingia kwenye maubanda kula sana nyagi mixer nyeupe kuja kushtuka saa 7:30 usiku sasa tulikuwa na boda na boda ni mwanangu hao tukaaga ili tusepe tumesogea sogea kufika karibu na daraja flan hivi juu inapitaga treni ya...
Sunny deol kabangi in "Mac dj"voice ila ile picha ilikuwa Kali sana na Kuna picha Moja sunny deol anawekwa kwenye chupa anakuwa kama nyoka anayeikumbuka jina lake please!!!
"The hard times make a true friend afraid to ask for currency
But you could run to me when you need and I'll never leave"
Hizi line zimenikumbusha mbali sanaa,ila katika hard times watu huwa wanaweza kufanya chochote cz pia hatuna true friends wengi ni snakes na wanasikilizia nini kitakukuta ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.