Recent content by Lawrence Luanda

  1. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania CHADEMA msichezee amani ya Tanzania, angalieni sababu za nyie kushindwa

    Ni kweli but with condition na wa Bara ufutwe
  2. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Mishahara ya watumishi wa umma kulipwa kabla ya uchaguzi

    Hii sio ishu sana cuz hata kampuni binafsi nyingi wametangaziwa wafanya kzai wao kuwa wataanza kupokea mishahara yao kuanzia tar 20.
  3. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Lowassa asababisha timua timua ITV

    Kuna kitu kimoja watu wengi na ccm hawajajua. Ishu hapa sio Lowasa ishu ni ccm kukaa pembeni so Lowasa anatumika kama njia ya kuiweka ccm pembeni. Jana nlikuta watu wanabishana kuhusu Afya ya Lowasa na wengi katika kundi lile lilikuwa na msimamo kwamba hata wakitangaziwa kafariki asubuhi ya...
  4. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Hoja za Dk. Slaa zipimwe

    Hoja ya Dr. Slaa kuhusu Lowasa kujisafisha ni nzuri sana, tatizo huo Muda wa kujisafisha haupo na kufanya hivyo kutatuchelewesha kufanya mabadiriko. Tuko na hoja moja ya msingi sana nayo ni kufanya mabadiriko, haijalishi nani anagombea kupitia ukawa hata ingekuwa ni jiwe lisoweza hata kuongea...
  5. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Keshauwa headline ya ufunguzi wa kampeni wa C. C.M, sasa blog nyingi zinajadili hii ishu yan siasa aisee
  6. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Hamad Rashid: Zitto ataondoka na wengi!

    Napata shida kuamini habari hii kama kweli alisema hivyo au la, kuna hoja ya Hamad hapo pia anyway siingizi siasa ila uwa ninaamina sana habarizinazoandikwa na mwananchi na kampuni nzima ya mwananchi kwa maana ya magazeti mengine ya kampuni hii na kwa kweli nimejiridhisha kuwa haliko biased kama...
  7. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Shibuda si riziki CHADEMA

    Kuna mama mtaa mmoja anakunywa pombe analewa chakali alafu anawaita vijana wafanye yao ila wapange foleni, sasa watu tunajiuliza kwa nn haisingizie pombe si angekuwa anajilaza tuu hata mchana bila kulewa vijana wenye uitaji wafanye yao mana hicho ndo anachokitaka au angechagua mmoja kati ya wale...
  8. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Waziri Amos Makalla anaishi katika nyumba isiyokuwa na milango wala madirisha

    Kwani huyu nae anataka kugombea urais?
  9. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

    Kuna hiyo kitu ya kubadili hati za nymba ya bodi ya sukari PAC wameagiza airudishe cjui kama ina qualify kuwa kashfa au al.
  10. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Kutoka Zanzibar: CHADEMA yawa agenda ndani ya CC ya CCM

    Nazani mgombea urais wa ccm na hizi habar za Lowasa ndo mtihani mkubwa sana CCM hiki, ukiona wanafika hadi wakati hu na mwelekeo wa aliyeko madarakani kutokuwa na picha au ushawishi wa anayemtaka ni ishara mbaya sana.
  11. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

    Tunajisahaulisha kwamba katiba AFRICA uwa haitungwi ki raisi kama wengi tunavyozani,kuna njia tukipitia hiyo tuu ndo tunapata katiba mpya iliyo serious otherwise twajidanganya, tatizo ni watakaolipa gharama ya kupita njia hiyo Mungu atusamehe mana si njia ila waafrika tunaipenda sana.
  12. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Njama za kuuawa kwa Dk. Slaa: IGP adai CHADEMA wanapiga siasa

    Mwishowe ukweli utajulikana ila jeshi la polisi lianze kuwa la kisasa especially kwenye mfumo huu wa vyama vingi naona linafanya kazi kwa sytle zile zile za chama kimoja. > Masele na wenzie waseme kitu tuwaskie na mbivu na mbichi zianze kujulikana sasa
  13. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Kijijini kwa Dr. Slaa Karatu: Walimu waikimbia shule ya msingi kwa mazingira magumu

    Tukiacha siasa hali ya shule zetu kwa ujumla ni mbaya sana, kuna maeneo hasa ya wafugaji shule wanaona sio ishu si kwamba hawapendi ila mfumo mzima ulivyo. Nazani sisi sote tunakazi ya kuwa wadau wa maendeleo maeneo tunayotoka ili tusonge mbele.
  14. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu Pemba: ''Aipasua Kokwa' Jinsi Tanganyika ilivyo inyanganya Zanzibar Mamlaka yake

    Twashukuru walau twaweza kuyasema haya tena hata kwenye majukwaa ya siasa zamani ilikuwa dhambi kubwa sana daa
  15. Lawrence Luanda

    JamiiForums Tanzania Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

    Aseme serikali mbili au tatu hamna kulemba sasa hivi
Back
Top Bottom