Recent content by laplusbelle15

  1. L

    Kufanya kosa huku ukijua ni kosa

    He is a killer like any other killer
  2. L

    Sijui atamwambia wife?

    Masikini, hadi nyumba yako mwenyewe unaiogopa, muulize GALADUDU mzoefu wa mambo hayo
  3. L

    Mpenzi wangu wa zamani amepandishwa cheo, cha moto nakiona,natumwa kama mtoto

    You never know to what extents a person who is hurt can go, if one has no forgiving heart. You humiliated her when u left her and took another woman in the same office, your reasons could be true and vise versa, man, you have to deal with her.hakuna ambae angechukulia poa hayo mageuzi yenu, try...
  4. L

    Naamka tu nakutana na tangazo hili kutoka kwa wife

    Ungetulia usingelihangaika na kila aina ya mademu na saa hizi usingekuwa na wasiwasi wa majibu
  5. L

    Naamka tu nakutana na tangazo hili kutoka kwa wife

    Ila wee mkaka hujatulia, utamuua mkeo kwa ukimwi, na yule mke wa mwendesha bodaboda mnyarwanda? Wako pia! Inatisha
  6. L

    Mke na mchepuko wamenishinda nataka kuwakimbia, maji yamenifika shingoni

    DON'T U EVER RUN FROM THE KIDS.be a husband to your wife and transparent to your Mtanga, aelewe kuwa hali imebadilika kifedha, aamue kuendelea nawe au akatafute tajiri mwingine
  7. L

    Haya mambo ya kuvutiwa sauti ya mtu kwenye simu

    He he he kazi kweli kweli, wanaume mnayo kazi!
  8. L

    Najuta kuufahamu mchepuko huu

    Jamani nyie Wanaume! Mke kuumwa kidogo tuu tayar ticket ya kuchepuka
  9. L

    Binti mmoja katia doa ndoa yangu

    Usimwambie mkeo,utamuumiza, kata mguu huko kwa mbondei
  10. L

    Huyo sio size yako, Itakupwelepweta bureee! Kuku wa Kizungu Mchinjaji hana kazi, yamcost

    Lara I salute you, una hoja na sijui huwa unawazaga nini mpaka kuandika yote haya.however bigup, i always read your posts n enjoy them. Back to the point, what u have discussed hapa leo ni muhimu sana kwa kaka zetu kuwa makini, ila mjue kuna wazazi wengine huwa wanawapush watoto wao wakaoe ktk...
  11. L

    Wanawake wengine hawajui kusamehe

    Mhh kwanza kumpata mwanaume anaeomba msamaha ni nadra siku hizi, angemsamehe look now!
  12. L

    Mpenzi kanichunia

    Kuna siku utakaa na kuufeel uzito na ukatili mliofanya, mtaumia na kukosa aman.sio ujanja wala akili
Back
Top Bottom