Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,622
Hii sigara ya kuvuta chooni sijui kaitoa wapi..
Shit
Shit
em piga gharama ya condom na ku`abort then future risks kwa starehe ya dakika zisizo zidi 365... kama kweli unajua cost effective and opportunity cost.Emu piga gharama ya abortion na gharama ya kulea mtoto..alafu ndo utaelewa umuhimu wa abortion
Mmhh!!!
Habari wakuu.
Mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa".
Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hiyo kanichunia mpaka leo, mimi kosa langu nini hapo.
dunia ina watu na viatu
Habari wakuu.
Mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa".
Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hiyo kanichunia mpaka leo, mimi kosa langu nini hapo.
...kwa hiyo wewe kwako kuua ni jambo la kawaida au siyo,..ungefanyiwa abortion wewe ungekuwa hai hadi leo?,..please don't entertain huo unyama....Bora abortion au bora watoto wasiokua na malezi bora na kuishia kuharibika maisha yao..bora kipi?