Binti mmoja katia doa ndoa yangu

Binti mmoja katia doa ndoa yangu

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa. Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake (Mithali 6:33).
 
Bora unyamaze tu maan ukimwambia mkeo sawa na kujipalia mkaa hlf yale ulopew Kule mwelekeze mkeo akufanyie kwn ktk mpnz hkun aibu pia kuelekezana ni jambo la busara zaid but kuw makini kwa Huo mchepuko maana ndo ushanogew pia chovyachovy humaliza buyu la asali!
 
Braza ushaharibu, muombe Mungu akuepushe name huyo ibirisi, si wewe Bali shetani ndiye atawalaye fikra zako
Mithali 16:25 Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Mithali 17:4
Mtenda mabaya husikiliza midomo ya uovu; Na mwongo hutega sikio lake kusikiliza ulimi wa madhara,

Mrudie Mungu na umuombe akuepushe na tamaa ya mwili maana mwisho wake ni mauti, tubu na uachane na huyo Dada, wewe na mkeo ni mwili mmoja
 
Jiulize mnapewa huo utamu wangapi kodi inakaribia kuisha kaa mkao wa mamilion kadhaa
 
Huyu binti ni accountant kwny Microfinance moja hapa mjini. Kiukweli huyu mtoto ameumbika, mrembo, mweupe, mrf na msafi kweli kweli.

Amepanga nyumba nzima maeneo ya Mikocheni kwa Nyerere ana usafiri mzuri i mean anatembelea Harrier Lexus pia ana ist pale nyumbani kwake anaishi na mdg wake wa kike na housegirl pmj na mlinzi wa Kk secirity.

Jiulize mnapewa huo utamu wangapi kodi inakaribia kuisha kaa mkao wa mamilion kadhaa

Unaibiwa tu ndugu, walichosema hao hapo juu ndio kinacho endelea hapo

Yani mtu ni accountant wa micro finance halafu ana miliki Gari mbili, anaishi mikocheni na nyumba inalindwa na kampuni ya ulinzi!! Kwa mshahara upi?!!! Hapo kuna mtu mwenye mihela yake ana hudumia Kwahiyo jipange
 
Unaibiwa tu ndugu, walichosema hao hapo juu ndio kinacho endelea hapo Yani mtu ni accountant wa micro finance halafu ana miliki Gari mbili, anaishi mikocheni na nyumba inalindwa na kampuni ya ulinzi!! Kwa mshahara upi?!!! Hapo kuna mtu mwenye mihela yake ana hudumia Kwahiyo jipange
umeongea ukweli aisee
 
Ushauri pekee ninaokupa ni kubadilisha heading ya uzi wako.. Napendekeza uandike udhaifu wangu na tamaa ya mwili unahatarisha ndoa yangu.. Sio binti wa kibondei anaeitia doa ndoa yako.. Ni wewe mwenyewe na tamaa za mwili.. Hujashikiwa panga wala bunduki kwenda huko..
 
Wasio na ndoa utawajua tu kwa thread zao

Anyway ....

Binyi ana harrier na lexus

Kapanga nyumba nzima maikocheni

Ana mlinzi wa kk security
 
Yaani wewe ni mwizi aliyeiba na hujakamatwa, hutafutwi na hujulikani lakini cha shangaza unaenda polisi kujisalimisha kwamba wewe ni mwizi je unafikiri itakuaje?
 
Habari za asubuhi waungwana,

Poleni sana na uchovu wa wknd ndefu na sikukuu za Pasaka hasa.kwa wale wapenda bata kama mimi. Vitabu vitakatifu vinakwambia msema kweli mpenzi wa Mungu, sio siri nimejitaidi kuuchuna lakini roho inanituma niseme.

Imepita kama miezi mitatu tangu nifahamiane na huyu binti, tulifahamiana kwenye mgahawa mmoja upo pale Makumbusho barabarani unaotazama na geti la kwenda kwenye kota za usalama.

Mimi ni mteja wao mkubwa sana pale hasa nyakati napokuwa natoka kazini mida ya jioni huwa napitia pale kupasha tumbo. Huyu binti ni accountant kwenye Microfinance moja hapa mjini. Kiukweli huyu mtoto ameumbika, mrembo, mweupe, mrefu na msafi kweli kweli.

Amepanga nyumba nzima maeneo ya Mikocheni kwa Nyerere ana usafiri mzuri i mean anatembelea Harrier Lexus pia ana ist pale nyumbani kwake anaishi na mdogo wake wa kike na housegirl pamoja na mlinzi wa kaka secirity.

Kwa ufupi yupo vizuri, ila kwa alichonifanyia siku ya Pasaka ndicho kimenifanya hasa nilete uzi huu kwenye meza ya MMU. Binti alinipigia cmu mida ya asubuhi akanikaribisha Pasaka niende nikapige msosi kwake. Nikamwambia sio kesi nitaenda.

Kufika mida ya saa 8 ikabidi nimtie sound wife kuwa. natoka mara moja, basi bhana baada ya my bby mama kunipa greenlight breki ya kwanza getini kwa huyu binti sio siri huyu mwanamke ni mtundu na anamapenzi hata jini mahaba sidhani kama anaweza kuwa nayo.

Baada ya kufika tuu nikapokelewa kwa bashasha za kufa mtu, mabusu na mashamsham kibao, ikabidi nihoji mdogo wake na house girl wko wap? Akasema wameenda kula Pasaka kwa mama yake anaishi Msasani. Basi libeneke likaendelea pale, sio siri sikutaka kabisa kusex na huyu mwanamke ila nilishindwa kujizuia na kujikuta maji yakizidi unga.

Nakiri kusema sijawahi pewa mapenzi kama haya jmn, huyu mwanamke ana mapenzi mpaka shetani anamuogopa. Najuta kusaliti ndoa yngu. Nafikiria kumuomba radhi wife japokuwa mpaka sasa hajagundua chochote kinachoendelea ila huyu mwanamke ametokea kunichanganya kwa kweli.

Nashindwa niamue lipi, maana nikimueleza wife ukweli hakutakalika ndani kabis. Nahitaji ushauri wenu, Naipenda ndoa yangu na wife pia.

Angalizo: Wenye matusi uzi huu hauwahusu kabisa.

Wa Kishua unazinguaa
 
Habari za asubuhi waungwana,

Poleni sana na uchovu wa wknd ndefu na sikukuu za Pasaka hasa.kwa wale wapenda bata kama mimi. Vitabu vitakatifu vinakwambia msema kweli mpenzi wa Mungu, sio siri nimejitaidi kuuchuna lakini roho inanituma niseme.

Imepita kama miezi mitatu tangu nifahamiane na huyu binti, tulifahamiana kwenye mgahawa mmoja upo pale Makumbusho barabarani unaotazama na geti la kwenda kwenye kota za usalama.

Mimi ni mteja wao mkubwa sana pale hasa nyakati napokuwa natoka kazini mida ya jioni huwa napitia pale kupasha tumbo. Huyu binti ni accountant kwenye Microfinance moja hapa mjini. Kiukweli huyu mtoto ameumbika, mrembo, mweupe, mrefu na msafi kweli kweli.

Amepanga nyumba nzima maeneo ya Mikocheni kwa Nyerere ana usafiri mzuri i mean anatembelea Harrier Lexus pia ana ist pale nyumbani kwake anaishi na mdogo wake wa kike na housegirl pamoja na mlinzi wa kaka secirity.

Kwa ufupi yupo vizuri, ila kwa alichonifanyia siku ya Pasaka ndicho kimenifanya hasa nilete uzi huu kwenye meza ya MMU. Binti alinipigia cmu mida ya asubuhi akanikaribisha Pasaka niende nikapige msosi kwake. Nikamwambia sio kesi nitaenda.

Kufika mida ya saa 8 ikabidi nimtie sound wife kuwa. natoka mara moja, basi bhana baada ya my bby mama kunipa greenlight breki ya kwanza getini kwa huyu binti sio siri huyu mwanamke ni mtundu na anamapenzi hata jini mahaba sidhani kama anaweza kuwa nayo.

Baada ya kufika tuu nikapokelewa kwa bashasha za kufa mtu, mabusu na mashamsham kibao, ikabidi nihoji mdogo wake na house girl wko wap? Akasema wameenda kula Pasaka kwa mama yake anaishi Msasani. Basi libeneke likaendelea pale, sio siri sikutaka kabisa kusex na huyu mwanamke ila nilishindwa kujizuia na kujikuta maji yakizidi unga.

Nakiri kusema sijawahi pewa mapenzi kama haya jmn, huyu mwanamke ana mapenzi mpaka shetani anamuogopa. Najuta kusaliti ndoa yngu. Nafikiria kumuomba radhi wife japokuwa mpaka sasa hajagundua chochote kinachoendelea ila huyu mwanamke ametokea kunichanganya kwa kweli.

Nashindwa niamue lipi, maana nikimueleza wife ukweli hakutakalika ndani kabis. Nahitaji ushauri wenu, Naipenda ndoa yangu na wife pia.

Angalizo: Wenye matusi uzi huu hauwahusu kabisa.


Mkuu ulitumia kinga? naomba kujua hilo kwanza.
 
Kwanza pole sana na pili hongera sana kwa kufaidi utamu for time being..! Potezea tuu usimwambie ishi maisha ya kutopenda kufanya nae open relation uwe unakula kuku kwa mrija i mean silently silently

Kama siyo tabia yake ya kuchepuka aachena naye mara moja...maana hamna siri chini ya jua....siku akimtegeshea ujauzito itakuwa shida zaid
 
Back
Top Bottom