de solver, post: 24259887, member: 415752"]Haha Sasa mkuu ukijiamin afu unaongea broken English si Wana ku disqualify
,how you say matter than what you say, kwenye interview ukiongea kwa ujasiri hata kama umekosea hawakutupi
Yah! Lakini kuna matangazo ya kubandikwa yale watu wanaibiwa sana huwa wanayatumia sana mashirika ya Fast jet na Cameil oil uongo mtupu kuna jamaa angu alitoa laki kizembe wakamla
Atapataiant, post: 23876461, member: 378417"]Uwepo wa `your' kwenye sentensi ya mwisho kunatosha kabisa kuku-disqualify endapo mwajiri ni mtu makini.
Atapata tu maana hatafuti kufundisha English
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.