Habari,
Kwa tangazo letu la nafasi za kazi lilitoka wiki chache zilizopita tumepata nafasi nyinginezo zilizotangazwa ila bado nafasi ya Manager Finance and Administration (MFA). Wenye sifa tumeni CV kupitia microfmd@yahoo.com. Sifa lazima mhusika awe amesoma Accounts na awe anaweza kuandaa financial statements na kazi nyinginezo za uhasibu.
Aidha, kumekuwa na baadhi ya watu wana comment kuwa sisi ni "MATAPELI", shida kubwa vijana wengi kuna hali ya uvivu wa kutokujituma kufanya kazi wakati huohuo unahitaji maslahi makubwa. Kufanya kazi kampuni binafsi kunahitaji uvumilivu, ubunifu na kujituma. Kiukweli huwa natimua mara moja mfanyakazi mvivu na asiyefuata taratibu za kazi. Kwa uhalali wetu tafadhali tembelea maamlaka za usajiri na usimamizi wa biashara tunazofanya kama vile BRELA, TRA, TCDC, Manispaa ya Kinondoni.
AU tembelea ofisi zetu zipo jengo la IBACON HOUSE- Ghorofa ya 3 Ofisi no. 148 Kinondoni B Barabara ya kuelekea Mahakama ya Kinondoni.
Imetolewa na Bw. Staphord Kwanama, Mkurugenzi Mkuu, MICROF COMPANY LIMITED 0712 066 064/ 0753 125474
Kwa tangazo letu la nafasi za kazi lilitoka wiki chache zilizopita tumepata nafasi nyinginezo zilizotangazwa ila bado nafasi ya Manager Finance and Administration (MFA). Wenye sifa tumeni CV kupitia microfmd@yahoo.com. Sifa lazima mhusika awe amesoma Accounts na awe anaweza kuandaa financial statements na kazi nyinginezo za uhasibu.
Aidha, kumekuwa na baadhi ya watu wana comment kuwa sisi ni "MATAPELI", shida kubwa vijana wengi kuna hali ya uvivu wa kutokujituma kufanya kazi wakati huohuo unahitaji maslahi makubwa. Kufanya kazi kampuni binafsi kunahitaji uvumilivu, ubunifu na kujituma. Kiukweli huwa natimua mara moja mfanyakazi mvivu na asiyefuata taratibu za kazi. Kwa uhalali wetu tafadhali tembelea maamlaka za usajiri na usimamizi wa biashara tunazofanya kama vile BRELA, TRA, TCDC, Manispaa ya Kinondoni.
AU tembelea ofisi zetu zipo jengo la IBACON HOUSE- Ghorofa ya 3 Ofisi no. 148 Kinondoni B Barabara ya kuelekea Mahakama ya Kinondoni.
Imetolewa na Bw. Staphord Kwanama, Mkurugenzi Mkuu, MICROF COMPANY LIMITED 0712 066 064/ 0753 125474