We ukishaigonga muhuri nenda land office watakupa taratibu zoteNasikia baada ya kupigwa muhuri na mwanasheria unaipeleka kwa Register of titles sasa nilikua nataka nijue kua ni process gani zinafanyika.
Asante!We ukishaigonga muhuri nenda land office watakupa taratibu zote
Mi juzi tu hapa mwasheria kaidraft kapiga mhuri basi nikaondoka nayo au zinatofautiana yangu ilikua kwa ajiri ya tender documentUnaisajili kivipi? We mpelekee loya aigonge muhuri, then may be utahitaji kuipeleka TRA ibandikwe 'stamp duty'
Za muda,Mi juzi tu hapa mwasheria kaidraft kapiga mhuri basi nikaondoka nayo au zinatofautiana yangu ilikua kwa ajiri ya tender document