zuberi Abraham
JF-Expert Member
- Feb 13, 2016
- 480
- 389
Hawa jamaaa sio matapeli mimi nakushauri tuma coz nawafaham vizuri
Hawa jamaaa sio matapeli mimi nakushauri tuma coz nawafaham vizuri
Namashaka na huyo jamaa anaemuambia atume, labda ni mmoja kati ya wale matapeliMkuu hela ya kampuni inaendaje kwa mtu binafisi?? Hela ya kampuni haina receipts kweli mkuu???
Sorry sikuelewa kipindi nafanya interview pale hawakua na nahii system ya kulipa, labda kama wameanza sasa na watakua wanatoa risitiMkuu hela ya kampuni inaendaje kwa mtu binafisi?? Hela ya kampuni haina receipts kweli mkuu???
Mimi sio tapeli ndugu na nisameheni sana ila niwajuavyo hawa jamaa sio matapeli coz nishawahi fanya interview kwao.Namashaka na huyo jamaa anaemuambia atume, labda ni mmoja kati ya wale matapeli
Na walikuomba pesa pia mkuu...?Mimi sio tapeli ndugu na nisameheni sana ila niwajuavyo hawa jamaa sio matapeli coz nishawahi fanya interview kwao
Kumbe jibu unalo...sasa ushauri unatafuta wa nini mkuu?. Hapa jukwaani wengi watakushauri usitume pesa maana matapeli ni wengi mno na hutumia kigezo cha jina linalofahamika.Mbaya zaidi sina kazi kwa sasa yani nachekecha akili inagoma. Ninge kua na mchongo ninge watupilia mbali...
Mbaya zaidi sina kazi kwa sasa yani nachekecha akili inagoma. Ninge kua na mchongo ninge watupilia mbali...
FEB 2016 hapakua na hichi kitu labda ndio wameanza na ukikaa ukawauliza vizuri wanaweza wakawa wanatoa risitiNa walikuomba pesa pia mkuu...?
Samahan pia mkuu kwa kukuita tapeli baada ya kutoa ufafanuzi
Nime itwa na hawa jamaa kwa jina la Kp recruiters, kuna kazi niliomba Bank flani nadhani hawa Kp wao wana husika naku recruit wafanyakazi kisha kuwa kabidhi wafanyakazi hao kwenye makampuni mbalimbali.
Awali kabla ya kwenda kwenye interview nime ombea nitumie elfu 10 ( refundable kama ntafika kwenye interview na non- refundable kama sita fika).
Kwa Financial Manager _Jina wame nipa na Namba yake ya simu ambapo pesa ina takiwa kutumwa.
Nikisha tuma hela ntatumiwa form itakayo kua na maelekezo kadha wa kadha.
Mwenye kuni ushauri wowote kwa anae wafahamu hawa jamaa..
Japo sipendi sana hizi kazi zaku anza kuombana hela hata kama ni ndogo.
Asanteni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa!
Service za kp recruiters ni bure kabisa. Pole sana, Huyo ni tapeli mkuu (That job post is a scam).
Nafasi za kazi za kp recruiters huwekwa kwenye website yetu ambayo ni: KP Recruiters
Pia baadhi ya job portal kama Zoom Tanzania, leoleoplus na nyinginezo huchukua na kuweka nafasi hizo kwenye website zao. Kuhakikisha usahihi wa tangazo lolote la kazi la mtandaoni ni muhimu ukafanya yafuatayo:-
Tutafute kwenye email yetu ambayo ni admin@kprecruiters.co.tz tusaidiane kutokomeza wahalifu wa namna hii.
- Usitoe fedha zako. Nafasi ya kazi inayokutaka kutuma fedha kabla ili uchaguliwe ina uwezekano mkubwa wa kuwa ni uongo.
- Jaribu kufanya utafiti mfupi kuhusu kampuni husika kabla ya kutuma maombi au taarifa zako. Unaweza hata kutumia google ku search details za kampuni husika ili kufananisha na ulizotumiwa.
- Matumizi ya akaunti za barua pepe za bure. Tangazo la kazi linalokutaka kutuma taarifa zako kenye email za free (Public domains) kama yahoo, gmail, live etc. huwa na uwezekano mkubwa yakuwa ni uongo. Kampuni hutumia corporate email accounts zao (kwa Kp recruiters tumia cv@kprecruiters.co.tz)
- Tovuti za uongo. Angalia website ilowekwa tangazo la kaza husika kama inauhusiana na kampuni husika au ni website ya kuaminika.
Ahsante.
Kimbia haraka sana hakuna kazi hapo hiyo hela nunua bando uanze apply kazi sehemu nyingine tofautiNime itwa na hawa jamaa kwa jina la Kp recruiters, kuna kazi niliomba Bank flani nadhani hawa Kp wao wana husika naku recruit wafanyakazi kisha kuwa kabidhi wafanyakazi hao kwenye makampuni mbalimbali.
Awali kabla ya kwenda kwenye interview nime ombea nitumie elfu 10 ( refundable kama ntafika kwenye interview na non- refundable kama sita fika).
Kwa Financial Manager _Jina wame nipa na Namba yake ya simu ambapo pesa ina takiwa kutumwa.
Nikisha tuma hela ntatumiwa form itakayo kua na maelekezo kadha wa kadha.
Mwenye kuni ushauri wowote kwa anae wafahamu hawa jamaa..
Japo sipendi sana hizi kazi zaku anza kuombana hela hata kama ni ndogo.
Asanteni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa!
Hawajanitapeli na hawawezi ila ukiona unaambiwa tuma hela ya interview ujue ni wezi kwani utaratibu unataka mawakala kupata malipo yao kutoka kwenye mshahara wa kazi utakayoenda kufanya.Walisha kutapeli mkuu?
Mkuu utapeli huoa cha kabisa ...hata mm kitu hiyo imenikuta kwa hawa jmaa wanajiita Carrier Consulitancy ni matapel ukipga namb a yao hawapokei epuka saaanaNime itwa na hawa jamaa kwa jina la Kp recruiters, kuna kazi niliomba Bank flani nadhani hawa Kp wao wana husika naku recruit wafanyakazi kisha kuwa kabidhi wafanyakazi hao kwenye makampuni mbalimbali.
Awali kabla ya kwenda kwenye interview nime ombea nitumie elfu 10 ( refundable kama ntafika kwenye interview na non- refundable kama sita fika).
Kwa Financial Manager _Jina wame nipa na Namba yake ya simu ambapo pesa ina takiwa kutumwa.
Nikisha tuma hela ntatumiwa form itakayo kua na maelekezo kadha wa kadha.
Mwenye kuni ushauri wowote kwa anae wafahamu hawa jamaa..
Japo sipendi sana hizi kazi zaku anza kuombana hela hata kama ni ndogo.
Asanteni. Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa!
Hiyo elfu10 bora ukanunue k