Habari wana jamiiforums ,kampuni ya Afrika loan AfrikaLoan ipo mbioni kuanzisha tawi hapa Dar es salaam.Ni kampuni inayojihusisha na kutoa mikopo kwenye simu za mkononi ,kama ilivyo Lpesa,Branch n.k.Anahitajika accountant ambaye atashughulikia majukumu hapa Dar es salaam.Min Experience 4yrs.
Majukumu kama
1.Accounting
2.Taxation
3.Regular reports to BoT/Ministry of finance.
Mshahara ni kati ya 800000-1600000
Tuma CV yako kupitia Lyapinms@gmail.com
Wenye elimu kuhusu accounting fursa hiyo
Kwa maelezo zaidi tumia +255765696086
N.B mtu yoyote atakayekutaka ulipe pesa kuapply ujue umetapeliwa/application ni bure kabisa na email hiyo ni ya makoa makuu moja kwa moja.
Majukumu kama
1.Accounting
2.Taxation
3.Regular reports to BoT/Ministry of finance.
Mshahara ni kati ya 800000-1600000
Tuma CV yako kupitia Lyapinms@gmail.com
Wenye elimu kuhusu accounting fursa hiyo
Kwa maelezo zaidi tumia +255765696086
N.B mtu yoyote atakayekutaka ulipe pesa kuapply ujue umetapeliwa/application ni bure kabisa na email hiyo ni ya makoa makuu moja kwa moja.