Puliza round up /super round (glayphoset 400) inakausha na kuozesha mpaka mizizi inakua chengachenga wala hutahitaji kuchoma moto tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka ya nyuma kidogo ulikua ukienda private school unaonekana kilaza siku hizi serikalini ndio wanaonekana vilaza.
Nadhani kuna mahala serikali iliteleza katika kusimamia ubora wa shule zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ndivyo ilivyo kwa GMO, sasa anti GMO ndio mtushushie hapa hayo madhara mkihusianisha na hizo mbegu na sio kama mleta mada alivyoongelea in General.
Halafu kwa ninavyo fahahu hizi mbegu zinatumika zaidi kwenye developed countries, ambao mamlaka zao pia zipo vizuri sana katika kudhibiti...
Hayo madhara mbona hujayaweka Ukihusisha na mbegu za GMO. Umeongea kiujumla sana, hebu fikiria pamoja na uwepo wake bado tatizo la njaa lipo hali ingekuaje zisinge kuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aache uwongo hakuna madhara yoyote yale kutumia simu au computer kwa muda mrefu. Ingekua yapo basi wengine yangeshatupata miaka mingi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua na amani tu boss hawana uwezo huo wa kukufikia kwa maana ya resources za kuja kukusanya hilo deni ni kubwa sana.
Wanachofanya wana ku threaten kisaikolojia tu. Na wewe naona umejaa kwenye mtego wao huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.