Sumu Boy
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 206
- 218
Toka niliposikia jamaa wa Tala wameshikwa sina amani kabisa maana wakitoka wanata anza na mimi niliyeshindwa kulipa maana hali ni ngumu nimeshindwa kurejesha labda utokee muujiza server yao itaifishwe ili na mimi niwe salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app