Recent content by Lambardi

  1. Lambardi

    Kati ya maji ya mvua na maji ya chemchemi, yapi ni masafi zaidi?

    Hiyo ni thesis yA PhD ....wasomi chukua hiyoooo kwa upembuziiiii......kuna Prif moja alifanyia mihogo....kuwa mitamu michungu kutokana udongo sehemu tofauti.....na sehemu sawa....mbegu sawa
  2. Lambardi

    Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Anajifanya ana hoja .....amesahau issue sio visa wala passport.....haturusiwi lolote kule.....kumiliki nyumba wala ardhi....bado anaona haitoshi....wao huku wanejaa kibao wana nyumba ardhi kila kitu....sijui wanajisahau
  3. Lambardi

    Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

    Hapooo sasaaaa......yanatishaa
  4. Lambardi

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Kagame sio mjinga.....anajua anafanya nini
  5. Lambardi

    Gerald Hando: Makonda akikutwa na hatia atafukuzwa Kazi ya Ukuu wa Mkoa

    Ameaingizia baraza mawaziri ( chombo kikuu cha Rais) amewapa tuhuma za uhaini kwa Rais....
  6. Lambardi

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Mtoto wa Dada huyooo file lake wanalo....enzi za mjomba amesumbua sana vyombo vya dola.....wanamjua pia ana ukwasi mkubwa sanaaa....alivyopata ni zile task force za viwanndaniii....huyo mkemia...aliwekwa task force......ni wale wale
  7. Lambardi

    John Malecela amshukuru Mungu kwa kufikisha Umri wa miaka 90, Phillipo Mangula ahudhuria

    HBD Mzee Malecela... Upate mingi zaidi yenye baraka ....huto Kidosho wako anakupelekesha lakini ..haya sawa vunilia uliyataka mwenyewe malizia maye masna amefaidi ssna kama mke PM mstaafuu
  8. Lambardi

    Ukiwa na chini ya milioni 100 ni heri uiweke fixed account, Kujenga nyumba ya kukodisha ni ngumu kupiga hatua

    Nauliza tu wajuvi....100m siwezi kujenga lodgebya vyumbav10 ? Nipate 200k daily kama itajaa ??
  9. Lambardi

    Ni ipi sehemu nzuri ya kuanzia maisha kati ya Kibaha mjini na Mwanza kwa mtaji wa milioni 10

    Kibaha unafanya nini ? Uwe makini nacwapare wameushika mji balaa ukienda hovyo umeliwaa
  10. Lambardi

    Guede anafunga magoli magumu sana

    Hivii Dube anakuja Yanga ? Badii sawwaa
Back
Top Bottom