Recent content by Lambardi

  1. Lambardi

    Hii Ndio Picha Bora ya siku kutoka kwa Rais Samia iliyoteka mitandao ya kijamii na Hisia Za Watu Duniani Kwote

    Daaaa nalilia Tanganyika .......nalilia uhuru wa kweli.....tuliponye Taifa na .....mtandao haramuuu
  2. Lambardi

    Msiba wa dada mkwe unaibua maswali mengi yanayohitaji majibu

    Duuu kama tumefikia hapo ni pabaya sana.....kisa mali na madaraka mnaua kila mtu bila hatia
  3. Lambardi

    Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

    Kihongosi asijitoe akili kutetea mauajii angetuliaa kuomba busara bado ana muda mrefu kwa hizi kazi za kula kulala bure atulize mlomooo......hawezi kabisa kwa mzee warioba angetulizana ru kama anataka kufika mbali miaka 30 ijayo........awe busara sana kujibu shutuma zavhaki na halali zinaumiza...
  4. Lambardi

    Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

    Hongera sana Kijana shujaa.....MO ndio waksla mkuu wa boxer Tanzania.....sijui atafanya nini
  5. Lambardi

    Tume ya Jaji Chande kumhoji Januari Makamba inataka tuelewe kitu gani?

    Achaa ujingaa mm sio January mkuu
  6. Lambardi

    Tume ya Jaji Chande kumhoji Januari Makamba inataka tuelewe kitu gani?

    .......Jan na Kitu kizito hao ni watoto wa Eagke dojo kati 1997 to 2000.....lolote laweza kutokea....wenzake ndio hao Directors saa hii ndani Eagke......
  7. Lambardi

    Misheni ya siri ya kuusafirisha mwili wa Rais nyumbani - Rubani aifichulia BBC

    Asante sana ni nzuri tumejifunza mengi hapo....hasa udhibiti wa mashirika binafsi hasa kwa usalama wa nchi magendo na hata ugaidi......nimewaza tuuu
  8. Lambardi

    Aliyewashtaki viongozi wa kanisa katoliki (Lucy Antony) ashushiwa kipigo na watu wasiojulikana

    Wanatengeza tukio auawawe wakamate watu.....upuuziii
  9. Lambardi

    Njaa mbaya, Prof Kabudi kutetea wauaji

    Huwezi kuamini ni yule mjamaa halisia na msema kweli na mtenda haki ? Kweli njaa mbayaa sanaa
  10. Lambardi

    Kama Mwigulu anadhani Uwaziri Mkuu na mgongo wa Samia vitambeba kuwa Rais ajaye basi amepotea sana

    Bita Urahisi anaifanya iwe nyepesi kwa bi kidude kumpa Riz1......akisema wanagombana huyu ropo ropo na bwana smart nyuma yangu wote hawafaiii.....tumekwishaas
Back
Top Bottom