Recent content by Lambardi

  1. Lambardi

    JamiiForums Tanzania KERO Matokeo ya Wanafunzi wa CBE Mwanza Campus hayajapandishwa kwenye mfumo wa NACTVET

    Nendeni kwa mkuu wa mkoa Mwanza... Simu moja tu mtasaidika......period
  2. Lambardi

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali iboreshe huduma za usafiri wa anga na kushusha gharama za nauli ili Wananchi wengi wapande

    Ukiona ndege ghali twende buses tu......sio lazima kila mtu awe wa ndege.....sisi hali kati na chini tupande bus
  3. Lambardi

    JamiiForums Tanzania KERO Mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana dharau sana kwa watu

    Daaaa poleni sana uongozi utaona hapa malalamiko.....naamini atajirekebisha kabla kutolewa hapo
  4. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Mbona WAHA hawatumii madaftari wala computer kwenye maduka yao yenye mchanganyiko mkubwa wa bidhaa?

    .....Siri nidhamu ya...pesa na matumizi! Waha wana nidhamu kubwa sana ya pesa
  5. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya Taifa yapata mwelekeo mpya, muswada maalum waandaliwa

    Ujinga mtupu.....huu wanapoteza muda uende ifike 2030......tukazike kwanza....
  6. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Kikao fake maridhiano fake bila CDM hakuna kitu wanapoteza pesa na muda bureee.....m
  7. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Wako wapi akina Dotto Biteko na Inno Bashungwa?

    Tuwaache watumikie majimbo yao
  8. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Mdada akiwa anakuangalia sana huku anajichekesha anamaanisha nini?

    Tego hilo akija tena utanasa...atakufilisiii...atachukua matango bure kila siku
  9. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche juu ya hotuba ya Nchimbi juu ya Katiba mpya

    Khaas nalilia Tanganyika bila kuuana wala kutekana
  10. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

    Daaaa yeye anayajua yoote zaidi yetu.....au ni drama ? Kutuzuga ? Ili nchi isipoeeeem? Au kweli ?? Basi sawaaa
  11. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba: Ukitaka Siasa Anzisha Chama Chako Usipeleke Siasa Makanisani Kuvuruga Kanisa na kuleta Fujo

    Siku hizi PM anasuluhisha ndoa na kulipia watoto ada khaa ndio kazi kubwa aliofabya so far shame........on him na waliomuweka
  12. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Mzee Wassira: CHADEMA Wasitulazimishe kumwachia Lissu!

    TL kiboko daaaa kila mtu anarendemka na tune yake.....hawana hoja ingine....kwani Wasira ndio amemkamata TL ?
  13. Lambardi

    JamiiForums Tanzania TID akanusha kushindwa kulipa bili Kitambaa Cheupe

    Kazi sanaaa muda ni mwalim mzuri sanaa tena mwalim mkuu
  14. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Alex Mkama apandishwa Cheo kuwa Kamishna wa Polisi, ateuliwa kuongoza Polisi Jamii

    Ltd Gen huwa mmj tu wakati alikuwa Mkuu Chuo NDC akawa Lt Gen ...ikawa walikuwa 2 lkn sasa Jimmy tuuu......General hutokea kwa Maj Gen mostl cases
Back
Top Bottom