Hiyo ni thesis yA PhD ....wasomi chukua hiyoooo kwa upembuziiiii......kuna Prif moja alifanyia mihogo....kuwa mitamu michungu kutokana udongo sehemu tofauti.....na sehemu sawa....mbegu sawa
Anajifanya ana hoja .....amesahau issue sio visa wala passport.....haturusiwi lolote kule.....kumiliki nyumba wala ardhi....bado anaona haitoshi....wao huku wanejaa kibao wana nyumba ardhi kila kitu....sijui wanajisahau
Mtoto wa Dada huyooo file lake wanalo....enzi za mjomba amesumbua sana vyombo vya dola.....wanamjua pia ana ukwasi mkubwa sanaaa....alivyopata ni zile task force za viwanndaniii....huyo mkemia...aliwekwa task force......ni wale wale
HBD Mzee Malecela...
Upate mingi zaidi yenye baraka ....huto Kidosho wako anakupelekesha lakini ..haya sawa vunilia uliyataka mwenyewe malizia maye masna amefaidi ssna kama mke PM mstaafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.