Recent content by Lalo Salamanca

  1. Lalo Salamanca

    Ajali ya gari la polisi imetokea uwanja wa ndege Dar

    Hahaa si watumie Mitutu yao Kujisaidia
  2. Lalo Salamanca

    KERO Kero ya Maji

    Hata Ufukuze Wizara Nzima haitasaidia, shida ni vipaumbele vya Serikali. Ni aibu mpaka leo hakuna maji wala umeme wa uhakika wakati hivi vitu ni very basic na kila mtu anatakiwa kuvipata kuanzia masikini wa mwisho mpaka Tajiri.
  3. Lalo Salamanca

    Vita ya Polisi na Raia imeanza Arusha. Askari ajeruhiwa vibaya kichwani kwa mawe, waamua kutumia risasi

    Hatuna Jeshi la Polisi, tuna Vibaka wenye Uniform wenye License za Kuua watu. Tuende nao hivohivo LOS PEPES style.
  4. Lalo Salamanca

    Mtandao wa twitter x umefungwa?

    Weka VPN, ni Mwaka na zaidi tunaishi hivo. Hata Page za Serikali zinatumia VPN.
  5. Lalo Salamanca

    Tiktok bunge la wananchi Kuna jamaa anaitwa summer ni mjinga sana

    Itakua ulileta udwanzi Kwenye Live yake akakupiga Nyundo halafu unakuja Kutolea Milio JF..🎺🎺🎺
  6. Lalo Salamanca

    Mwaka huu watu wa diploma wanaoenda Bachelor hamna mkopo

    Kama unaweza jisomesha bila huo mkopo ni bora ufanye hivo. Hizo hela zinatesa sana wakati wa Kuzilipa.
  7. Lalo Salamanca

    Ujio wa Mama Mkwe - Sasa twazila Hela za Wife

    Wanawake ni Wabinafsi sana aisee.
  8. Lalo Salamanca

    Je, unajua kinachoiliza Tanzania, nchi ya Rwanda, Malaysia, China na Singapore walifanya miaka 40 iliopita na wengine miaka 15 tuu? njooni tuyaone

    Hiki Ndio kinatumaliza (Scarcity Mindset), mtu hana uhakika kama atapata na Kesho, akipata upenyo leo anachukua mpaka ziada hajali kama wengine watakosa. Mfano mzuri ni mtu kuiba vinywaji kwenye Sherehe, yaani hana uhakika kama kesho atakunywa tena bia kwahiyo ni bora aibe bia5 zaidi hata kama...
  9. Lalo Salamanca

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Tunajibana, pombe kiasi na hatuhongi.
Back
Top Bottom