Hata Ufukuze Wizara Nzima haitasaidia, shida ni vipaumbele vya Serikali. Ni aibu mpaka leo hakuna maji wala umeme wa uhakika wakati hivi vitu ni very basic na kila mtu anatakiwa kuvipata kuanzia masikini wa mwisho mpaka Tajiri.
Hiki Ndio kinatumaliza (Scarcity Mindset), mtu hana uhakika kama atapata na Kesho, akipata upenyo leo anachukua mpaka ziada hajali kama wengine watakosa. Mfano mzuri ni mtu kuiba vinywaji kwenye Sherehe, yaani hana uhakika kama kesho atakunywa tena bia kwahiyo ni bora aibe bia5 zaidi hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.