habari za wakati huu wadau,naomba kujuzwa/kueleweshwa zaid kuhusiana na kilimo cha migomba mwenye kufahamu plz nini changamoto zake,aina ya migomba,maradh nk asanten
sir peter a.k.a sir assume hongera kwake stik nying mpaka tukajua math much respect to him mana dah bila zile fimbo cjui ingekuaje mana co kwa hesabu hz za chuo bila kuwa na msing mzur ingenicost sana
mkuu naomba nisaidie kitu,nimechaguliwa hapo main campus ni diploma holder ila bdo cjaripoti chuo till 2day mana hali ya kiuchumi haijakaa sawa bado je nkienda kuripoti j3 kutakuwa na athar zozote je watakubali kuniregister?na pia chuo kimeshafunguliwa tayar?
Asante
ardhi hakuna kituo pale sikuhizi panda gari ya feri shuka bunge then unaenda moja kwa moja utakutana na barabara inaenda moja kwa moja na kuna iliyoingia kushoto we kunja ya kushoto na jengo la kwanza ndo hapo wizara ya elimu
mh kama ni kweli si wengi sasa tutapostpone kwanini wasitoe muda vikikamilika watapelekewa mbona ni mapema sana mana m juzi tu nimetoka fatilia wamesema bado.
hapo tu mimi ndo naumia nikikumbuka tabu niliyopata kwanza pesa ya kuapply huo mkopo ilikuwa shughuli bs 2 Mungu alisaidia now wanasema hatupewi kwanin wasingesema mapema kabla atujapoteza pesa zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.