Recent content by lacairo

  1. L

    Kitanda cha chuma kinauzwa

    Vitanda vya chuma nani anataka kufungua hospital
  2. L

    Mwanasheria Mkuu: Serikali haitagharimia Mahakama ya Kadhi

    Viongozi hawafai mahakama hii inaanza kama mvua inaponyesha ikikata inaacha ka mtaro kadogo .mwaka mwingine hivo hivo hatimae inaluwaje mto nikiwa na maana itafikia mahari mahakama inaluwaje kubwa
  3. L

    Upole unawagharimu wanaume wengi

    We mbona hujitafutii we ndo zombi sasa kwa taarifa yako
  4. L

    Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

    Kwa tanzania tuko wanyuma kila cku ina maana hosp setup hazifai
  5. L

    Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

    Hongera xana endeleza kipaji chako usibweteke
  6. L

    Mwimbaji wa nyimbo za injili Debora John Said afariki dunia

    Ni kazi ya bwana kuvuna mazao yake
  7. L

    Kuna mkaka kanivutia humu MMU

    Kaa fikiria cana tena sana pia jaribu kunitafuta hast ushauri tu mdada
  8. L

    Wachina wakamatwa na Shehena ya Meno ya Tembo Bandarini Dar

    Jaman wanyongwe hao sasa hivi wachina wananguvu sana hapa bongo sisiem
  9. L

    WANAUME haya ni mambo muhimu ukiwa unatafuta mke,sifa na mambo muhimu 25 kama MDADA hana achana nae

    Ni hatari tupu wanawake wa sasa wanaenda na wakati,huyo mwenye sifa hizo labda azaliwe ndani ya geti na asitoke humo mpaka kuolewa na maisha yake akiwa ndani awe anasoma sheria zako
  10. L

    Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

    Hiyo zzk ni kichwa
Back
Top Bottom