Upole unawagharimu wanaume wengi

Upole unawagharimu wanaume wengi

Nimemhurumia sana jamaa yangu.Ni jamaa ambaye tumekua naye, tumesoma naye ni mpole sana na mcha Mungu sana. Kanisani kwao ni mtu mkubwa tu sijui anacheo gani, lakini ni mtu mkubwa tu.

Huyu mshikaji alioa mwaka jana mwanamke mrembo sana lakini alionekana kama mtukutumtukutu. Mshikaji kamuombea mpaka mwanamke kawa mtu mzuri tu na kanisani naye kapewa cheo fulani hivi ni Kanisa kubwa tu hapa Dar es salam.

Sasa mwanamke amekuwa akitumia sana upole wa mwanaume kumdrive kama anavyopenda. Anaweza kumnunia tu hata wiki nzima, huku mshikaji anachanginyikiwa sana na kukonda mno, hapendi kabisa wagombane na mke wake.Yaani jamaa anavyopelekwa mpaka unamuonea huruma.

Jana nimemwambia dawa ya hawa wanawake watafutie papi, akileta nyoro kale maini. Mbona atanyooka mwenyewe tu bila hata kuchapwa.Hapa mshikaji nimemtafutia msichana na vile mshikaji anapesa demu kakubali, na huyu msichana ni wa ushwahilini mshikaji atakipata cha moto mpaka atasahau mateso.

Wanaume wapole msifikiri ni sifa ni uzombi.

A cha kujifanya mjuaji kwa mambo ya wenzako uskute wakwako anagongewa kitandan kwako.
 
Yaaani unafundisha kuwa na nyumba ndogo ndio upole unaisha vipi ? na huyo akianza mapepe ina maana jamaa atakawa na nyumba ndogo ngapi sasa.

Shehee usiweke mayai kapu moja.
Hawa viumbe ni wakuwavuruga tu
Tunawaheshimu sababu ya kuzaa only
Ila ni zaidi ya mbwa hawa.
 
Una umri gani mtoa mada? Maana nahisi unaelezea fantasy yako tu.
 
mimi naona ni sawa tu ila angetakiwa ampe taarifa ukiendelea hivi nakua na mchepuko
 
Huyo jamaa hicho cheo kanisani wamempa kwa ajili ya pesa au? Mbona Bible imesema kabisa tuishi nao kwa akili? Na huyo mwanamke wake ananuna nuna ndio maana anamsumbua. Amchokoze chokoze mpaka awe anaongea, kwa sababu wanasaikolojia wanasema mwanamke anatakiwa aongee maneno atleast 75,000 kwa siku. Kinyume cha hapo lazima atakuwa na usumbufu wa kijinga.
 
Wewe bwana Majaribu ni mtu wa hovyo kweli. Badala ya kumsaidia rafiki yako kupata suluhisho la ndoa yake unamwanzishia tatizo lingine kwa kitendo cha kumtafutia mchepuko!!!!!!!!!!!!????????/.
 
Shehee usiweke mayai kapu moja.
Hawa viumbe ni wakuwavuruga tu
Tunawaheshimu sababu ya kuzaa only
Ila ni zaidi ya mbwa hawa.

Heee!!!!! wew una mama????????
dada, shangazi, n.k??????????????
mmmmhh!!!! nini wasiwasi na malezi yako kwa kwel khaa!!
 
Kweli mleta mada ni kichwa maji, huo mchepuko nao ukianza kum-drive kuliko mke wake utamsaidiaje? manake upole ni asili ya mtu. We jamaa sio wa kuombwa ushauri kabisa.
 
Shehee usiweke mayai kapu moja.
Hawa viumbe ni wakuwavuruga tu
Tunawaheshimu sababu ya kuzaa only
Ila ni zaidi ya mbwa hawa.

Oa mbwa maana ndio unafananae kiakili mpk kimwili acha wanaume wenye akili zao wadili na wanawake binadamu
 
Back
Top Bottom