Kwa nilivyosikia kwa watu wngn kam hyoo alifanya account officer na kam alifaulu vizuri ila kutoka na nafasi kuisha hyo mtu aliwekwa database na ndo maan akaja kupangiwa corparative officer
Sina cha kusema ila licha ya mafunzo yao ila wanaishi life zuri sana pale vyakula vinaingizwa vya kutosha,wanapata muda wa kupiga ball nk nk nikipitag pale nawaona
Mangalo muulize alivyokuw kak sikosei biashara chama alimfanya nini, kumbuka simba keo kiburi ipo ya kutosha maan no injury kiungo punda katikati ,saido ndan,sakho mzee wa kuwapunguz ndan ,mbel watachagua wnyw wanamtak nan na nan leo had hyoo kazadi atakaba nakwambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ety simba waachan na manzoki kwa ww unaishi dunia ipi manzoki ashasajiliw china huko
- pil chama kafany foul leo sbb wale jamaa walicheza foul za htr had makocha wakamind, nakuongezea chama hajavaa kitambaa cha ucaptain leo kavaa had timu ya taif yule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.