Interview: TRADE OFFICER II- MDA'S AND LGA'S

Interview: TRADE OFFICER II- MDA'S AND LGA'S

Yellescabar

Senior Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
115
Reaction score
253
Mwenye Mwanga kuhusiana na nini cha Kusoma..Maeneo ya kuyapitia kwenye interview ya hii kada itakayofanyika apo siku za usoni.
 
Dogo jiamini kwa elimu uliyoipata ukiwa chuoni+ Field +past work experiences... unachokiuliza ni kwa Rivals wako... unategemea wakupe nini ili weww uwashinde???
Hamna wala kuna watu wanaojua mambo humu ndo mana nkauliza ilo swali
 
Wakuu naombeni msaada wa mawazo hapa, katika haya majina yaliyoitwa mwenye usahili j.mosi kuna jamaa yangu ameitwa na anapaswa kwenda kufanyia interview UDSM

Sasa changamoto inakuja ni hadi saizi hajawekewa namba ya usahili kwenye account yake, wengine wamewekewa ila yeye kila akicheki Hola

Sasa swali, je asipowekewa namba na ilhali ameitwa anapaswa kufanya nini? Je anaweza kwenda eneo la tukio siku ya usahili pasipokuwa na namba? Na je akifika afanye nini kabla ya kuingia kwenye interview?

Natanguliza Shukrani.
 
Wakuu naombeni msaada wa mawazo hapa, katika haya majina yaliyoitwa mwenye usahili j.mosi kuna jamaa yangu ameitwa na anapaswa kwenda kufanyia interview UDSM

Sasa changamoto inakuja ni hadi saizi hajawekewa namba ya usahili kwenye account yake, wengine wamewekewa ila yeye kila akicheki Hola

Sasa swali, je asipowekewa namba na ilhali ameitwa anapaswa kufanya nini? Je anaweza kwenda eneo la tukio siku ya usahili pasipokuwa na namba? Na je akifika afanye nini kabla ya kuingia kwenye interview?

Natanguliza Shukrani.
Mwambie aende leo ofisi za PSRS akafatlie ilo swala
 
Back
Top Bottom