kama ishu ni kulipiza kisasi basi mwambie na yeye avue umuone mchezo uishe...manake yeye alikuona tu hakukufanya kitu na wewe muone tu usimfanye kitu..ngoma iwe droo.
kumbe ndio maana magamba waliengua kipengele cha tunu za taifa (Maadili) tumeona wazi leo jinsi vijana wao wasivyokuwa na maadili, ni wakati sasa wa kujiuliza taifa letu linapelekwa wapi na hawa wahuni waliokuwa wakimtukana Warioba tangu bungeni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.