ila naskia huwa wakina mama ndo huwa wanasababisha kwa kutowajali ma haus gel,kuwafokea saa zote,mara kuwakata mishahara endapo akivunja glass au kuharibu kitu chochote,so hasira zooote huwa zinaishia kwa watoto pindi mkienda kazini
jina chapombe nguvumali
nilipo lyamba lya mfipa
umri 33
jinsia dume la mbegu
avatar la jeneral,na hyo picha yangu ya utotoni
napendelea castle lager na kitimoto
sijaoa natafuta muchumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.